Msaada/confession: Sijui kupika wakuu

Msaada/confession: Sijui kupika wakuu

Joanah

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2016
Posts
22,527
Reaction score
79,976
Wakuu,

Nilishawahi kuleta uzi wa kutojua kupika way back Mwanamke kutojua kupika inaweza kuwa sababu ya kupewa talaka?
Jioni hii nimepika wali...nauangalia hapa naona aibu mimi...wali una mafuta huoo

Nilianza kujua kupika lakini sjui nimesahau ama ni vipi lakini kila nikipika naharibu 🙌

Nisaidieni tips za kujua kupika vizuri...

Aaliyyah
Mwachiluwi
Sis Carleen

Bro Evelyn Salt nisaidie braza
Itabidi utafute mwanamume anaejua kupika kama Mwachiluwi ili mgawane majukumu mkuu 😅😅😅... Jokes.

All in all kupika ni sanaa so sio kila mtu anaweza kuimudu hiyo sanaa, kuchanganya changanya mavitu vitu hadi itokee kitu yenye ladha moja sio mchezo😅😅
 
Itabidi utafute mwanamume anaejua kupika kama Mwachiluwi ili mgawane majukumu mkuu 😅😅😅... Jokes.

All in all kupika ni sanaa so sio kila mtu anaweza kuimudu hiyo sanaa, kuchanganya changanya mavitu vitu hadi itokee kitu yenye ladha moja sio mchezo😅😅

Wakati fulani nilikuwa nimeshaweza ilaaa nilivyoacha hapo nikaharibu
 
Wakuu,

Nilishawahi kuleta uzi wa kutojua kupika way back Mwanamke kutojua kupika inaweza kuwa sababu ya kupewa talaka?
Jioni hii nimepika wali...nauangalia hapa naona aibu mimi...wali una mafuta huoo

Nilianza kujua kupika lakini sjui nimesahau ama ni vipi lakini kila nikipika naharibu 🙌

Nisaidieni tips za kujua kupika vizuri...

Aaliyyah
Mwachiluwi
Sis Carleen

Bro Evelyn Salt nisaidie braza
Penda kupika mara kwa mara pia mafuta yachukulie sumu pindi unapopika weka kidogo sana pili acha kukologa kologa yaani kugeuza geuza chakula mfano wali ukipika ukishaweka maji punguza moto wako kama unapikia gesi kisaha endelea na mamb mengine

Kama unapika mkaa ukishaweka wali punguza mkaa ukiweza ule mkaa unao upunguza upalilie juu pia penda kuangalia mtandaoni jinsi wenzako wanavyopika
 
Itabidi utafute mwanamume anaejua kupika kama Mwachiluwi ili mgawane majukumu mkuu 😅😅😅... Jokes.

All in all kupika ni sanaa so sio kila mtu anaweza kuimudu hiyo sanaa, kuchanganya changanya mavitu vitu hadi itokee kitu yenye ladha moja sio mchezo😅😅
😂😂 utani wako fanya uwe kweli basi 😂
 
Penda kupika mara kwa mara pia mafuta yachukulie sumu pindi unapopika weka kidogo sana pili acha kukologa kologa yaani kugeuza geuza chakula mfano wali ukipika ukishaweka maji punguza moto wako kama unapikia gesi kisaha endelea na mamb mengine

Kama unapika mkaa ukishaweka wali punguza mkaa ukiweza ule mkaa unao upunguza upalilie juu pia penda kuangalia mtandaoni jinsi wenzako wanavyopika

Leo nimeweka mafuta kidogo lakini ajabu wali unawaka waka loh!
 
Back
Top Bottom