Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 22,527
- 79,976
- Thread starter
- #41
Huyu dada ni braza kumbe?!
Sitakufunza kila kitu
Kama bro Evelyn Salt alikutajia jinsia nyingine unaenda kupigwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu dada ni braza kumbe?!
Hapo hujaunguza, unguza uone.Ukoko wake ni mtamu ila mgumu mno🤭
Yaan nawaza tu wanaume wa humu walivyo na mdomo mrefu,utakuwa ukiwakosea tu kwenye comments watakuwa wanakujibu "ndiyo maana hujui kupika wali"Nitajitahidi kupika nikiweza manake muda wa kupika mixer uvivu 🙌
Pole dadaanguWakuu,
Nilishawahi kuleta uzi wa kutojua kupika way back Mwanamke kutojua kupika inaweza kuwa sababu ya kupewa talaka?
Jioni hii nimepika wali...nauangalia hapa naona aibu mimi...wali una mafuta huoo
Nilianza kujua kupika lakini sjui nimesahau ama ni vipi lakini kila nikipika naharibu 🙌
Nisaidieni tips za kujua kupika vizuri...
Aaliyyah
Mwachiluwi
Sis Carleen
Bro Evelyn Salt nisaidie braza
unatusingizia [emoji1787]Yaan nawaza tu wanaume wa humu walivyo na mdomo mrefu,utakuwa ukiwakosea tu kwenye comments watakuwa wanakujibu "ndiyo maana hujui kupika wali"
Ungeomba msaada hata Twitter
Hiyo nzuri mkuuNamuelekeza pole pole
🤣Tena wewe 🙌unatusingizia [emoji1787]
Unakaribishwa sanaNitajaribu kwa kijiko
Kuja home 🤦♀️
Ndio bossHiyo nzuri mkuu
Yaan nawaza tu wanaume wa humu walivyo na mdomo mrefu,utakuwa ukiwakosea tu kwenye comments watakuwa wanakujibu "ndiyo maana hujui kupika wali"
Ungeomba msaada hata Twitter 🥴
Soon atajua namuhamishia nyumbani mpaka atoke hapa kashajua zaidiMwachiluwi anapika mpaka sambusa,dagaa rosti 😃 alafu we binti mrembo hujui kupika.
Sema kupika ukiwa mvivu inakua mtihani kumaster 😂😂😂... Na uombee uwe na mtu wa kukuoshea vyombo maana kupika ni jambo moja ila kuosha vyombo ni jambo lingine.Nitajitahidi kupika nikiweza manake muda wa kupika mixer uvivu 🙌
🤣🤣🤣Nilichogundua huyu anajua tu kuandika lakini kiasili ni mpole sana😂pole sis nimecheka kama mazuri mwenyewe unatia zako huruma😂