Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Akaribie homeBro si umecheki tu catress Mwachiluwi kavipi tukaweke kambi kwake wiki moja tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akaribie homeBro si umecheki tu catress Mwachiluwi kavipi tukaweke kambi kwake wiki moja tu.
🤣🤣🤣🤣Ila we dada wewe🙌Upishi niuache bro?
Hapa unavyoniambia hivi niachane nao nafarijika kinyama...kwani kupika lazima?
Bro si umecheki tu catress Mwachiluwi kavipi tukaweke kambi kwake wiki moja tu.
Unaweza kujifunza kupika kupitia youtube na instagram pages za mapishi. Anza na yale mapishi sinple kabisa.Nisaidie na wewe badae nitamuomba Mungu
Sahihi kabisaHuenda sio hobby yako, ngumu kufanya vizuri kitu usichokipenda.
Upate tu mtu mwelewa ili hata siku ubwabwa ukiwa mbichi asilalamike.😁
Kuna mafundi wa kupika, weeee tena mafundi kweli.Kupika hakuna fundi wa uhakika nafikiri kuna siri kwenye kupika wengine hatujui mana mm napika sana ila ubwabwa wangu haufanani kabisa na anaopika demu wangu 🙌
Pole.
Mpishi ni mpishi tu mamy hata ukipitisha miaka 10 pasipo kuingia jikoni UJUZI haufi.
Unahitaji kufundishwa kupika nini wapishi tuanze kujipanga?
Mimi nitakufundisha kupika chai na ugali😁.
Huwa sikusifiagi nakuchora tu.Nilikuwa kama ww nikatafuta mwanaume ambae hajui mapishi aise nasifiwa najua lakini mama akila anasema unajitahidi ila bado mwanaume kama mwachiluwi hapana aisee ataniumbua
Sawa.Mkuu,kusahau kupo...mimi sikuwa hivi
Umeolewa?Wakuu,
Nilishawahi kuleta uzi wa kutojua kupika way back Mwanamke kutojua kupika inaweza kuwa sababu ya kupewa talaka?
Jioni hii nimepika wali...nauangalia hapa naona aibu mimi...wali una mafuta huoo
Nilianza kujua kupika lakini sjui nimesahau ama ni vipi lakini kila nikipika naharibu 🙌
Nisaidieni tips za kujua kupika vizuri...
Aaliyyah
Mwachiluwi
Sis Carleen
Bro Evelyn Salt nisaidie braza