Itabidi utafute mwanamume anaejua kupika kama Mwachiluwi ili mgawane majukumu mkuu π π π ... Jokes.Wakuu,
Nilishawahi kuleta uzi wa kutojua kupika way back Mwanamke kutojua kupika inaweza kuwa sababu ya kupewa talaka?
Jioni hii nimepika wali...nauangalia hapa naona aibu mimi...wali una mafuta huoo
Nilianza kujua kupika lakini sjui nimesahau ama ni vipi lakini kila nikipika naharibu π
Nisaidieni tips za kujua kupika vizuri...
Aaliyyah
Mwachiluwi
Sis Carleen
Bro Evelyn Salt nisaidie braza
π€£Mi nadhani achana na masufuria haya ya kizamani tuliyozoea kupikia misibani...jaribu hizi sufuria za kisasa za kijerumani labda zitakubalancia mafuta mpenzi π₯΄Nisaidie na wewe badae nitamuomba Mungu
Itabidi utafute mwanamume anaejua kupika kama Mwachiluwi ili mgawane majukumu mkuu π π π ... Jokes.
All in all kupika ni sanaa so sio kila mtu anaweza kuimudu hiyo sanaa, kuchanganya changanya mavitu vitu hadi itokee kitu yenye ladha moja sio mchezoπ π
kwani huna mashost wanaojua kupika unawaomba wakutembeleeYutyubu ukiangalia rahisi lakini ukiingia mzigoni mara chumvi izidi,maji,mafuta
Anza kupika kwa kuweka chumvi bila kuonja utatoboa...hii onjaonja Mara haijakolea umeongeza Tena Mara imezidi umeongeza maji ....ndo bokoboko....Yutyubu ukiangalia rahisi lakini ukiingia mzigoni mara chumvi izidi,maji,mafuta
Penda kupika mara kwa mara pia mafuta yachukulie sumu pindi unapopika weka kidogo sana pili acha kukologa kologa yaani kugeuza geuza chakula mfano wali ukipika ukishaweka maji punguza moto wako kama unapikia gesi kisaha endelea na mamb mengineWakuu,
Nilishawahi kuleta uzi wa kutojua kupika way back Mwanamke kutojua kupika inaweza kuwa sababu ya kupewa talaka?
Jioni hii nimepika wali...nauangalia hapa naona aibu mimi...wali una mafuta huoo
Nilianza kujua kupika lakini sjui nimesahau ama ni vipi lakini kila nikipika naharibu π
Nisaidieni tips za kujua kupika vizuri...
Aaliyyah
Mwachiluwi
Sis Carleen
Bro Evelyn Salt nisaidie braza
ππ utani wako fanya uwe kweli basi πItabidi utafute mwanamume anaejua kupika kama Mwachiluwi ili mgawane majukumu mkuu π π π ... Jokes.
All in all kupika ni sanaa so sio kila mtu anaweza kuimudu hiyo sanaa, kuchanganya changanya mavitu vitu hadi itokee kitu yenye ladha moja sio mchezoπ π
Penda kupika mara kwa mara pia mafuta yachukulie sumu pindi unapopika weka kidogo sana pili acha kukologa kologa yaani kugeuza geuza chakula mfano wali ukipika ukishaweka maji punguza moto wako kama unapikia gesi kisaha endelea na mamb mengine
Kama unapika mkaa ukishaweka wali punguza mkaa ukiweza ule mkaa unao upunguza upalilie juu pia penda kuangalia mtandaoni jinsi wenzako wanavyopika