Msaada/confession: Sijui kupika wakuu

Unahitaji upwige bolo la mikono 🤔umri huo hujui kupika
 
Mkuu chakula sio wali Pelee


Kuna


Maboga
Viazi
Mihogo ya kuchemsha
Mayai

N.k

Bila kusahau kukata kata matunda..mume hawez kukuachia kisa wali

Napenda wali 😁
 

Mbona mie wali naupika kwa mfumo huo uliowashangaza wa maji ya baridi 😀

Nitajitahidi kupika mara nyingi nikiweza, asante sis 🙏
 
Sema inawezekana ulijifunzia youtube. Kuna kipindi nilikuwa refa mzuri tu (mechi za mtaani) nilijifunzia youtube, tangu nimeacha sikumbuki hata katika zile sheria kumi na saba za soka sheria ya kwanza ni ipi.

😂😂😂 mmmh
 
Pole sana, unaweza usijue kupika vizuri ila ukawa mzuri kwenye kutwanga na kupepeta...


Cc: Mahondaw
 
I wish T.I.D apitie hii thread!! Kwani una undugu na Abigail chams??
 
Nimekuja mwaya International Chef wangu, naomba umshushie yale madini yako tafadhali sana..!!

Na umeanza lini uchoyo wa kutonialika iftari..??
Yaani stay tune madikodiko yanaanza soon hapa nishashop Nazi zangu za buku buku🤣🤣🤣
 
Joanah mbona kupika sio kitu chenye ugumu hivyo!
Labda mtindo wa makuzi yako ulikuweka mbali na mapishi lakini ni kitu rahisi sana .
Kama umepika wali umeona kuna makosa fulani kesho pika tena ukirekebisha pale ulipo kosea leo na kurudia hivyo hivyo jadi ujenge mazoea.
Hamia chakula kingine , mwisho wa siku utajikuta mpishi mzuri kuliko wengi walio na taaluma hio.
 
Nilikuwa kama ww nikatafuta mwanaume ambae hajui mapishi aise nasifiwa najua lakini mama akila anasema unajitahidi ila bado mwanaume kama mwachiluwi hapana aisee ataniumbua
Aisee kumbe kutafuta Mwenza kuna Mambo/vigezo vingi namna hii....
 
Ohoo.pole sana.hilo ni tatizo la kuto lichukulia mzaha.nenda veta jifanye unataka kujifunza mapishi contemporary kumbe unataka basics
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…