muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,301
- 13,858
Samahani Evelyn Salt ni Bro?.Wakuu,
Nilishawahi kuleta uzi wa kutojua kupika way back Mwanamke kutojua kupika inaweza kuwa sababu ya kupewa talaka?
Jioni hii nimepika wali...nauangalia hapa naona aibu mimi...wali una mafuta huoo
Nilianza kujua kupika lakini sjui nimesahau ama ni vipi lakini kila nikipika naharibu 🙌
Nisaidieni tips za kujua kupika vizuri...
Aaliyyah
Mwachiluwi
Sis Carleen
Bro Evelyn Salt nisaidie braza
chapatti achana nazo kwa sasa, utazikuta mbele huko, hizo ndiyo zitazidi kuku disappoint..!!😂😂Asantee
Nilidhani nimebakiza kupika chapati kumbe safari bado
mwaya mdogo wangu mzuri Joanah,
Cooking is an art, ndiyo maana chakula hicho hicho kimoja watu wana mapishi mengi na tofauti balaa, hivyo lolote lile lisiku disappoint, hata kwa wanaojua kuna siku vyakula vinagoma kabisa..!!
Imagine, Jana kuna group moja wadada walikuwa wanasema huwa wanaanza kupika wali na maji baridi, yaani wanatia maji na mchele kwa pamoja na vinaiva vyema na kwa pamoja, tukabaki tunashangaa..!!
kupika ni baby steps, unajaribu -unakosea, kesho unatazama ni wapi ulikosea unarekebisha tena, ili usipate tabu, pika chakula kidogo ili pia isiwe hasara incase ukatoa muujiza..!!
Leo umekosea sababu umezidisha mafuta, jaribu kesho, punguza mafuta, punguza chumvi, na siku zote jitahidi pale mchele unapoishia kwenye sufuria maji yasipite sana, na wali wako ukichemka tu vizuri, punguza moto mpaka mwisho kabisa, yaani mpaka natamani nikupigie simu nikuelezee kwa sauti..!!
you're such a smart lady, kitu kama kupika hakiwezi kukushinda akili mdogo wangu, cha kuzingatia ni usichoke kujaribu wala usikate tamaa hata ukiharibu mara kadhaa..!!
Hebu weka picha ya huo ubwabwa kwanza ili cheafs tukushauri vizuriWakuu,
Nilishawahi kuleta uzi wa kutojua kupika way back Mwanamke kutojua kupika inaweza kuwa sababu ya kupewa talaka?
Jioni hii nimepika wali...nauangalia hapa naona aibu mimi...wali una mafuta huoo
Nilianza kujua kupika lakini sjui nimesahau ama ni vipi lakini kila nikipika naharibu 🙌
Nisaidieni tips za kujua kupika vizuri...
Aaliyyah
Mwachiluwi
Sis Carleen
Bro Evelyn Salt nisaidie braza
Yaani stay tune madikodiko yanaanza soon hapa nishashop Nazi zangu za buku buku🤣🤣🤣Nimekuja mwaya International Chef wangu, naomba umshushie yale madini yako tafadhali sana..!!
Na umeanza lini uchoyo wa kutonialika iftari..??
Joanah mbona kupika sio kitu chenye ugumu hivyo!Wakuu,
Nilishawahi kuleta uzi wa kutojua kupika way back Mwanamke kutojua kupika inaweza kuwa sababu ya kupewa talaka?
Jioni hii nimepika wali...nauangalia hapa naona aibu mimi...wali una mafuta huoo
Nilianza kujua kupika lakini sjui nimesahau ama ni vipi lakini kila nikipika naharibu 🙌
Nisaidieni tips za kujua kupika vizuri...
Aaliyyah
Mwachiluwi
Sis Carleen
Bro Evelyn Salt nisaidie braza
Aisee kumbe kutafuta Mwenza kuna Mambo/vigezo vingi namna hii....Nilikuwa kama ww nikatafuta mwanaume ambae hajui mapishi aise nasifiwa najua lakini mama akila anasema unajitahidi ila bado mwanaume kama mwachiluwi hapana aisee ataniumbua
Ohoo.pole sana.hilo ni tatizo la kuto lichukulia mzaha.nenda veta jifanye unataka kujifunza mapishi contemporary kumbe unataka basicsWakuu,
Nilishawahi kuleta uzi wa kutojua kupika way back Mwanamke kutojua kupika inaweza kuwa sababu ya kupewa talaka?
Jioni hii nimepika wali...nauangalia hapa naona aibu mimi...wali una mafuta huoo
Nilianza kujua kupika lakini sjui nimesahau ama ni vipi lakini kila nikipika naharibu 🙌
Nisaidieni tips za kujua kupika vizuri...
Aaliyyah
Mwachiluwi
Sis Carleen
Bro Evelyn Salt nisaidie braza