Pdidy unahitaji msaada? Kufungulia redio ya Kuhani Mussa haitakusaidia, kumwaga maji ya baraka sijui mafuta ya upako utakuwa mnachambisha paka hapo. Kama kweli unataka kuondokana na hilo jambo its a matter of prayers. Maana mpaka alarm imegonga, means umepata signal rohoni. Pray earnestly. Isali sala ya baba yetu..kwa moyo tena kipengele baada ya kipengele. Kama unahitaji maelekezo PM tafadhali.
Hapn mm siwez hayo ila ukitaka nkupeleke Kwa mzee mmoja hiv hapa tukaseme naeMbz beach mkuu tbov
Unawezayawaondoa mkuu
Yule mwacity muache aendelee kuolewa tuU
Meaanzaaa janancity na leo......
Wape ile sumu ya panya changanya na dagaa au samaki. Watakwisha mmoja baada ya mwingine. Kisha tuletee updates hapaNawaza hata niliyemkosea nakosaaa,
Na mwezi sasa nyumba haikaliki mapaka yanalia kuzunguka nyumba nzima. Niliweka sumu wakafa wawili yaan kama nimefungua vita wakija kama wanaita wenzaao hatulali wakuu.
Kibaya wapangaji wangu wameanza kuhama mmoja mwanae amelala nae kitandan kamkuta sebulen nashukuru hawakuwa makatili kumtoa nje.
Mwingine ana wiki anaalalama anapigana na mwanamke mnene usiku mpaka saa 11 asbh anamwachia. Kama ujuavyo imani haituruhusu mngineyo ukikaa vijiweni unaambiwa mwagia mkojo na chumvi vyumban shida wa nani awasemi?
Mwingine kachukue maji ya baharini changanya na maziwa na chumvi na mavi ya tembo(kipengelee tembo achatu/mwagia vyumbani, mmhhh nk.
Tunapiga sala bado tukimwa mini Mungu ila tunapitia kwenye vita vikuu yaan hata kukaa na majirani nimeogopa. Sasa, nawaza kupeleka watotoo bdn; kama kupambana tumalizane nao wakubwa.
Hivi naandika wamekuja tena, aiseeeeeeee!
Yaan siku ya 5 sasa haya yanapiga makelele hayali sumu matokeo yanakuja dirishan moja likilis lingine linaitaa nyaauuuu nyaaaaaaaaaaaau kamawanafanya tendo la ndoa kinguvu kazi trutrue.
Mjini kuzuri lakn, mmh!
Tunakuomba ndugu Mshana JrNawaza hata niliyemkosea nakosaaa,
Na mwezi sasa nyumba haikaliki mapaka yanalia kuzunguka nyumba nzima. Niliweka sumu wakafa wawili yaan kama nimefungua vita wakija kama wanaita wenzaao hatulali wakuu.
Kibaya wapangaji wangu wameanza kuhama mmoja mwanae amelala nae kitandan kamkuta sebulen nashukuru hawakuwa makatili kumtoa nje.
Mwingine ana wiki anaalalama anapigana na mwanamke mnene usiku mpaka saa 11 asbh anamwachia. Kama ujuavyo imani haituruhusu mngineyo ukikaa vijiweni unaambiwa mwagia mkojo na chumvi vyumban shida wa nani awasemi?
Mwingine kachukue maji ya baharini changanya na maziwa na chumvi na mavi ya tembo(kipengelee tembo achatu/mwagia vyumbani, mmhhh nk.
Tunapiga sala bado tukimwa mini Mungu ila tunapitia kwenye vita vikuu yaan hata kukaa na majirani nimeogopa. Sasa, nawaza kupeleka watotoo bdn; kama kupambana tumalizane nao wakubwa.
Hivi naandika wamekuja tena, aiseeeeeeee!
Yaan siku ya 5 sasa haya yanapiga makelele hayali sumu matokeo yanakuja dirishan moja likilis lingine linaitaa nyaauuuu nyaaaaaaaaaaaau kamawanafanya tendo la ndoa kinguvu kazi trutrue.
Mjini kuzuri lakn, mmh!
Paka huwa kipindi jike akiwa kwenye joto huwa anavutia madume kutoka sehemu za mbali, nà wanalia hivyo wala haihusiani na ushirikina kama wengi wanavyodhani.
Paka ni viumbe innocent hawana neno na binadamu na ni ukatili kuwaua viumbe ambao hawana baya na wewe.
Tunaua tembo, tunaua simba, vifaru, chui, Twiga, paka, tunafyeka misitu, n.k Hivi tunataka hii dunia tubaki peke yetu?
Nilikuwa na hii shida kwenye nyumba yangu wakati nahamia,unakuta yanatembea juu ya ukuta,yanalia dirishani.iliisha baada ya kuanza kufuga mbwa.Mtoa mada anajaribu kutulazimisha tuamini hao sio paka wa kawaida ila ni paka tu na hzo ndio tabia zao.Fuga mbwa.
Bujibuji Simba Nyamaume Mshana Jr njooni mtoe msahada kaka zanguNawaza hata niliyemkosea nakosaaa,
Na mwezi sasa nyumba haikaliki mapaka yanalia kuzunguka nyumba nzima. Niliweka sumu wakafa wawili yaan kama nimefungua vita wakija kama wanaita wenzaao hatulali wakuu.
Kibaya wapangaji wangu wameanza kuhama mmoja mwanae amelala nae kitandan kamkuta sebulen nashukuru hawakuwa makatili kumtoa nje.
Mwingine ana wiki anaalalama anapigana na mwanamke mnene usiku mpaka saa 11 asbh anamwachia. Kama ujuavyo imani haituruhusu mngineyo ukikaa vijiweni unaambiwa mwagia mkojo na chumvi vyumban shida wa nani awasemi?
Mwingine kachukue maji ya baharini changanya na maziwa na chumvi na mavi ya tembo(kipengelee tembo achatu/mwagia vyumbani, mmhhh nk.
Tunapiga sala bado tukimwa mini Mungu ila tunapitia kwenye vita vikuu yaan hata kukaa na majirani nimeogopa. Sasa, nawaza kupeleka watotoo bdn; kama kupambana tumalizane nao wakubwa.
Hivi naandika wamekuja tena, aiseeeeeeee!
Yaan siku ya 5 sasa haya yanapiga makelele hayali sumu matokeo yanakuja dirishan moja likilis lingine linaitaa nyaauuuu nyaaaaaaaaaaaau kamawanafanya tendo la ndoa kinguvu kazi trutrue.
Mjini kuzuri lakn, mmh!