MSAADA: Dawa ya kuondoa paka wanaolia usiku wa manane

MSAADA: Dawa ya kuondoa paka wanaolia usiku wa manane

Tjx mkuu barikiwa
Pdidy unahitaji msaada? Kufungulia redio ya Kuhani Mussa haitakusaidia, kumwaga maji ya baraka sijui mafuta ya upako utakuwa mnachambisha paka hapo. Kama kweli unataka kuondokana na hilo jambo its a matter of prayers. Maana mpaka alarm imegonga, means umepata signal rohoni. Pray earnestly. Isali sala ya baba yetu..kwa moyo tena kipengele baada ya kipengele. Kama unahitaji maelekezo PM tafadhali.
 
U
Mkuu Pdidy una uhakika ile mikeka yako inaendelea kutick au umewaangusha wakamaria hivyo wanajibu mapigo ? [emoji38][emoji38]

Pole sana ndugu utani tu ila jaribu chumvi ya mawe
Meaanzaaa janancity na leo......
 
Ukiwasikia tena Waambie kwa sauti wachukue fagio wafagie uwanja,wote watapotea, Washa bhangi kali saa hiyo wanayokuja.
 
Dunia ina.mamboooo
ninetumiwa inbox
washa bangi vyumban j
{Bong..i}
hahahaaa
Tupendane tukiwa hai...
uniletee kipila ndugu kumbe nafukuza paka tu kha...na.umrihuu na mahabusu bora nife
 
Hata huku kwetu paka wanatoka uswahilini wanakuja kupiga kelele kwetu, Wafugaji wa paka mnafuga paka hamuwezi kuwatunza[emoji3] wapeni chakula paka wenu
 
Ni rahisi tu, unawatokea usiku kishujaa na kuwakemea kuwa hutaki kusikia kelele zao na wasije tena. Huu mtindo wa mapaka kulialia hivyo upo tangu miaka mingi. Kuna wakati wanashirikiana na mabundi kupiga kelele usiku, hapohapo majinamizi nayo yanasumbua usingizini. Yaani ni vurugu tupu unaweza kuhama nyumba
 
Nawaza hata niliyemkosea nakosaaa,

Na mwezi sasa nyumba haikaliki mapaka yanalia kuzunguka nyumba nzima. Niliweka sumu wakafa wawili yaan kama nimefungua vita wakija kama wanaita wenzaao hatulali wakuu.

Kibaya wapangaji wangu wameanza kuhama mmoja mwanae amelala nae kitandan kamkuta sebulen nashukuru hawakuwa makatili kumtoa nje.

Mwingine ana wiki anaalalama anapigana na mwanamke mnene usiku mpaka saa 11 asbh anamwachia. Kama ujuavyo imani haituruhusu mngineyo ukikaa vijiweni unaambiwa mwagia mkojo na chumvi vyumban shida wa nani awasemi?

Mwingine kachukue maji ya baharini changanya na maziwa na chumvi na mavi ya tembo(kipengelee tembo achatu/mwagia vyumbani, mmhhh nk.

Tunapiga sala bado tukimwa mini Mungu ila tunapitia kwenye vita vikuu yaan hata kukaa na majirani nimeogopa. Sasa, nawaza kupeleka watotoo bdn; kama kupambana tumalizane nao wakubwa.

Hivi naandika wamekuja tena, aiseeeeeeee!

Yaan siku ya 5 sasa haya yanapiga makelele hayali sumu matokeo yanakuja dirishan moja likilis lingine linaitaa nyaauuuu nyaaaaaaaaaaaau kamawanafanya tendo la ndoa kinguvu kazi trutrue.

Mjini kuzuri lakn, mmh!
Wape ile sumu ya panya changanya na dagaa au samaki. Watakwisha mmoja baada ya mwingine. Kisha tuletee updates hapa
 
Nawaza hata niliyemkosea nakosaaa,

Na mwezi sasa nyumba haikaliki mapaka yanalia kuzunguka nyumba nzima. Niliweka sumu wakafa wawili yaan kama nimefungua vita wakija kama wanaita wenzaao hatulali wakuu.

Kibaya wapangaji wangu wameanza kuhama mmoja mwanae amelala nae kitandan kamkuta sebulen nashukuru hawakuwa makatili kumtoa nje.

Mwingine ana wiki anaalalama anapigana na mwanamke mnene usiku mpaka saa 11 asbh anamwachia. Kama ujuavyo imani haituruhusu mngineyo ukikaa vijiweni unaambiwa mwagia mkojo na chumvi vyumban shida wa nani awasemi?

Mwingine kachukue maji ya baharini changanya na maziwa na chumvi na mavi ya tembo(kipengelee tembo achatu/mwagia vyumbani, mmhhh nk.

Tunapiga sala bado tukimwa mini Mungu ila tunapitia kwenye vita vikuu yaan hata kukaa na majirani nimeogopa. Sasa, nawaza kupeleka watotoo bdn; kama kupambana tumalizane nao wakubwa.

Hivi naandika wamekuja tena, aiseeeeeeee!

Yaan siku ya 5 sasa haya yanapiga makelele hayali sumu matokeo yanakuja dirishan moja likilis lingine linaitaa nyaauuuu nyaaaaaaaaaaaau kamawanafanya tendo la ndoa kinguvu kazi trutrue.

Mjini kuzuri lakn, mmh!
Tunakuomba ndugu Mshana Jr
 
Paka huwa kipindi jike akiwa kwenye joto huwa anavutia madume kutoka sehemu za mbali, nà wanalia hivyo wala haihusiani na ushirikina kama wengi wanavyodhani.

Paka ni viumbe innocent hawana neno na binadamu na ni ukatili kuwaua viumbe ambao hawana baya na wewe.

Tunaua tembo, tunaua simba, vifaru, chui, Twiga, paka, tunafyeka misitu, n.k Hivi tunataka hii dunia tubaki peke yetu?

Daah, hii point naomba ipigwe lamination na ihifadhiwe makumbusho.
 
Fuga mbwa.
Nilikuwa na hii shida kwenye nyumba yangu wakati nahamia,unakuta yanatembea juu ya ukuta,yanalia dirishani.iliisha baada ya kuanza kufuga mbwa.Mtoa mada anajaribu kutulazimisha tuamini hao sio paka wa kawaida ila ni paka tu na hzo ndio tabia zao.
 
Kama umeshagundua ni vita basi huna budi kuvaa silaha zote za ki-Mungu,,kumbuka vita vyetu si vya kimwili ni vya kiroho,,kwahiyo imani yako inatakiwa kuwa thabiti sana.
 
Hakuna taarifa zinazonisikitisha kama hizi.

Hivi ni nini kifanyike Jamii yetu itoke kifungoni kwenye hizi imani za kijinga zinazotupotezea muda?. Wenzetu huko Duniani wanapambana kuisaidia Dunia kiteknolojia sisi tunapiga mak time...imani zile zile za miaka 1000 iliyopita bado zinatutafuna.

Kama unapoishi kuna Paka basi siku zote tarajia tu watapiga kelele, iwe usiku au mchana ni isivyobahati tu wao hawajali sana muda gani ni sawa kufanya hivyo na muda upi si sawa...hivyo wafanyavyo ni sehemu ya maumbile yao kutoka kwa aliyewaumba...ondoeni imani za ajabu ajabu mpaka mnaishia kuwadhuru viumbe wasio hatia.

Mtu unaona sawa kabisa kujinadi kuwa umewauwa wawili....kwa nini unawauwa?.
 
Unapata dhambi kuwaua aisee angalien wanavutiwa na nin kuja hapo kwenu
 
Nawaza hata niliyemkosea nakosaaa,

Na mwezi sasa nyumba haikaliki mapaka yanalia kuzunguka nyumba nzima. Niliweka sumu wakafa wawili yaan kama nimefungua vita wakija kama wanaita wenzaao hatulali wakuu.

Kibaya wapangaji wangu wameanza kuhama mmoja mwanae amelala nae kitandan kamkuta sebulen nashukuru hawakuwa makatili kumtoa nje.

Mwingine ana wiki anaalalama anapigana na mwanamke mnene usiku mpaka saa 11 asbh anamwachia. Kama ujuavyo imani haituruhusu mngineyo ukikaa vijiweni unaambiwa mwagia mkojo na chumvi vyumban shida wa nani awasemi?

Mwingine kachukue maji ya baharini changanya na maziwa na chumvi na mavi ya tembo(kipengelee tembo achatu/mwagia vyumbani, mmhhh nk.

Tunapiga sala bado tukimwa mini Mungu ila tunapitia kwenye vita vikuu yaan hata kukaa na majirani nimeogopa. Sasa, nawaza kupeleka watotoo bdn; kama kupambana tumalizane nao wakubwa.

Hivi naandika wamekuja tena, aiseeeeeeee!

Yaan siku ya 5 sasa haya yanapiga makelele hayali sumu matokeo yanakuja dirishan moja likilis lingine linaitaa nyaauuuu nyaaaaaaaaaaaau kamawanafanya tendo la ndoa kinguvu kazi trutrue.

Mjini kuzuri lakn, mmh!
Bujibuji Simba Nyamaume Mshana Jr njooni mtoe msahada kaka zangu
 
Back
Top Bottom