Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Paka huwa kipindi jike akiwa kwenye joto huwa anavutia madume kutoka sehemu za mbali, nà wanalia hivyo wala haihusiani na ushirikina kama wengi wanavyodhani...
Ukona hivyio, kuna uchafu mwingi mtaani ambapo yanapata kila kitu au vinginevyo zungushia nyumba ukuta na uweke taa za kutosha kila mahaliNawazaa hata niliyemkosea nakosaaa
Na mwezi sasa nyumba haikaliki mapaka yanalia kuzunguka nyumba nzima..
Au maji ya upakomaji ya baraka
Paka Watu hao ni wachawi hao wamekuja kukuwangia na wamekukuta bado upo macho una bahati ungelikuwa umelala wangekuchukuwa ukaenda kulimishwa mashamba usiku kucha na wangekurudisha saa 10 usiku kabla ya adhana ya alfajiri nitafute kwa wakati wako nikupe dawa ya kuwafukuza.Nawazaa hata niliyemkosea nakosaaa
Na mwezi sasa nyumba haikaliki mapaka yanalia kuzunguka nyumba nzima...
Saa 10:07 hii Pdidy amka uchukue dawa,Paka Watu hao ni wachawi hao wamekuja kukuwangia na wamekukuta bado upo macho una bahati ungelikuwa umelala wangekuchukuwa ukaenda kulimishwa mashamba usiku kucha na wangekurudisha saa 10 usiku kabla ya adhana ya alfajiri nitafute kwa wakati wako nikupe dawa ya kuwafukuza.
kuna paka wengine wa kutumwa che zea uchawi wewePaka huwa kipindi jike akiwa kwenye joto huwa anavutia madume kutoka sehemu za mbali, nà wanalia hivyo wala haihusiani na ushirikina kama wengi wanavyodhani
Paka ni viumbe innocent hawana neno na binadamu na ni ukatili kuwaua viumbe ambao hawana baya na wewe
Tunaua tembo, tunaua simba, vifaru, chui, Twiga, paka, tunafyeka misitu, n.k Hivi tunataka hii dunia tubaki peke yetu?
unaishi wapi?Kaaka niombe radhi hao wawili wameenda atulali mke analiamgongoo wikisasa achatu mpwa ..yaan masamaki nkiweka nakuta yalivyo asbh natoa nahisi hat sumu ishkta tamaa kwenye samaki...
Fuga mbwaNawazaa hata niliyemkosea nakosaaa,
Na mwezi sasa nyumba haikaliki mapaka yanalia kuzunguka nyumba nzima. Niliweka sumu wakafa wawili yaan kama nimefungua vita wakija kama wanaita wenzaao hatulali wakuu...
Kwani dhambi wanyama kufanya mapenzi?Waje wafanye sex zao mwezi mzima nyumbani kwako tu?!!😏
Kwani dhambi wanyama kufanya mapenzi?
Hao sio wa kutumwakuna paka wengine wa kutumwa che zea uchawi wewe
Mkuu Pdidy una uhakika ile mikeka yako inaendelea kutick au umewaangusha wakamaria hivyo wanajibu mapigo ? [emoji38][emoji38]Nawazaa hata niliyemkosea nakosaaa,
Na mwezi sasa nyumba haikaliki mapaka yanalia kuzunguka nyumba nzima. Niliweka sumu wakafa wawili yaan kama nimefungua vita wakija kama wanaita wenzaao hatulali wakuu.
Kibaya wapangaji wangu wameanza kuhama mmoja mwanae amelala nae kitandan kamkuta sebulen nashukuru hawakuwa makatili kumtoa nje.
Mwingine ana wiki anaalalama anapigana na mwanamke mnene usiku mpaka saa 11 asbh anamwachia. Kama ujuavyo imani haituruhusu mngineyo ukikaa vijiweni unaambiwa mwagia mkojo na chumvi vyumban shida wa nani awasemi?
Mwingine kachukue maji ya baharini changanya na maziwa na chumvi na mavi ya tembo(kipengelee tembo achatu/mwagia vyumbani, mmhhh nk.
Tunapiga sala bado tukimwa mini Mungu ila tunapitia kwenye vita vikuu yaan hata kukaa na majirani nimeogopa. Sasa, nawaza kupeleka watotoo bdn; kama kupambana tumalizane nao wakubwa.
Hivi naandika wamekuja tena, aiseeeeeeee!
Yaan siku ya 5 sasa haya yanapiga makelele hayali sumu matokeo yanakuja dirishan moja likilis lingine linaitaa nyaauuuu nyaaaaaaaaaaaau kamawanafanya tendo la ndoa kinguvu kazi trutrue.
Mjini kuzuri lakn, mmh!