Msaada; Dawa ya Miguu kufa ganzi na kukosa nguvu

Msaada; Dawa ya Miguu kufa ganzi na kukosa nguvu

JF Member

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2014
Posts
7,914
Reaction score
10,793
Habari za wana JF?

Kwa kipindi cha miaka miwili sasa Bibi yangu amekuwa na tatizo la kuishiwa nguvu kwenye miguu, Umri miaka 70.

Akisimama kwa mda wa lisaa lazima aanguke chini, akitembea nyayo zinakuwa na ganzi.

Naimbeni tiba na ushauri.

Yuko DAR ES SALAAM.

Ombi la rafiki yangu wa karibu. Nimeona nililete hapa.
 
Habari za wana JF?

Kwa kipindi cha miaka miwili sasa Bibi yangu amekuwa na tatizo la kuishiwa nguvu kwenye miguu, Umri miaka 70.

Akisimama kwa mda wa lisaa lazima aanguke chini, akitembea nyayo zinakuwa na ganzi.

Naimbeni tiba na ushauri.

Yuko DAR ES SALAAM.

Ombi la rafiki yangu wa karibu. Nimeona nililete hapa.
Mkuu pole sana kwa bibi yako kuw ana hayo maradhi mwambie anitafute rafiki yako kw awakati wake ili niweze kumtibia bibi yake auguwe pole .
 
Back
Top Bottom