Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wadau naombeni msaada kwa anayefahamu dawa ya tego liwe la kunatiana au lolote lile.
Bismilah laydhuru ma Zawjati fishey fil ardhi wala fil samaa wa huwa samii al aleem.
Kama we muislam some hilo dua hakuna atakaye msogelea mke wako kwa mabaya, haina haja ya kutafuta dawa wala nini.
Kila kitu unakipata kwenye Qur'an na sunna ni wewe tu kusoma na kufahamu.
Siku njema.
Bismilah laydhuru ma Zawjati fishey fil ardhi wala fil samaa wa huwa samii al aleem.
Kama we muislam some hilo dua hakuna atakaye msogelea mke wako kwa mabaya, haina haja ya kutafuta dawa wala nini.
Kila kitu unakipata kwenye Qur'an na sunna ni wewe tu kusoma na kufahamu.
Siku njema.
Kwa wasio waislam je? haifanyi kazi au!Bismilah laydhuru ma Zawjati fishey fil ardhi wala fil samaa wa huwa samii al aleem.
Kama we muislam some hilo dua hakuna atakaye msogelea mke wako kwa mabaya, haina haja ya kutafuta dawa wala nini.
Kila kitu unakipata kwenye Qur'an na sunna ni wewe tu kusoma na kufahamu.
Siku njema.
mi nmeisoma sana hyo ila mpaka sasa naibiwa,tego ndo zuri
Wadau naombeni msaada kwa anayefahamu dawa ya tego liwe la kunatiana au lolote lile.
Wadau naombeni msaada kwa anayefahamu dawa ya tego liwe la kunatiana au lolote lile.
Wadau naombeni msaada kwa anayefahamu dawa ya tego liwe la kunatiana au lolote lile.
Mdeki; shida yote hiyo ya nini? uko tayari hata kulishwa hata mavi ya mbwa kisa kumtega mwenza wako. Achana na biashara hiyo, TAFUTA mpenzi mmoja mwaminifu nawe utaishi kwa raha na amani milele.
Sote brother, na atujalie siku zote wake zetu wawe wafata dini na wanao mkumbuka Mungu kila wakati.mungu akubariki sana