Mwinyi_ole_mushi
JF-Expert Member
- Oct 29, 2015
- 1,635
- 4,411
[emoji23][emoji23][emoji23] yani saivi kuna wasanii kibaoo...na mim nataka niwe msanii
naweka zangu biti alafu naanza kukohoa hahahaha
naweka zangu biti alafu naanza kukohoa hahahaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hujui muziki.ovaNdugu sina chuki dhidi yake, ni katika kutaka kujua wanamuziki na muziki hapa nchini Tanzania. So far nauelewa zaidi Muziki wa Diamond, Harmonize, Ally Kiba, Ben Pol ILA BADO NAJILAZIMISHA kuwaelewa JUX, VANESSA, DOGO JANJA na ROMA.
Hahahah,,,,,ndo wasanii wetu wa sasa hawaNa anajisifu jinsi anavyopewaga MAMBO YA UANI! 😱
Kama dogo sio msanii yupi kwako ndio msanii?Huyu na Queen darling sio wanamuziki..ni basi tu watanzania watu wasio jielewa.kifupu hawa sio wasanii wanaimba manyang'unyang'u
Kuna wengine Hawa wako hawaeelewiNdugu sina chuki dhidi yake, ni katika kutaka kujua wanamuziki na muziki hapa nchini Tanzania. So far nauelewa zaidi Muziki wa Diamond, Harmonize, Ally Kiba, Ben Pol ILA BADO NAJILAZIMISHA kuwaelewa JUX, VANESSA, DOGO JANJA na ROMA.
Na anajisifu jinsi anavyopewaga MAMBO YA UANI! 😱