Msaada: Dogo janja anaimbaga nini? Sijawahi kumuelewa

Msaada: Dogo janja anaimbaga nini? Sijawahi kumuelewa

Ndugu sina chuki dhidi yake, ni katika kutaka kujua wanamuziki na muziki hapa nchini Tanzania. So far nauelewa zaidi Muziki wa Diamond, Harmonize, Ally Kiba, Ben Pol ILA BADO NAJILAZIMISHA kuwaelewa JUX, VANESSA, DOGO JANJA na ROMA.
hujui muziki.ova
 
Huyu na Queen darling sio wanamuziki..ni basi tu watanzania watu wasio jielewa.kifupu hawa sio wasanii wanaimba manyang'unyang'u
 
Ndugu sina chuki dhidi yake, ni katika kutaka kujua wanamuziki na muziki hapa nchini Tanzania. So far nauelewa zaidi Muziki wa Diamond, Harmonize, Ally Kiba, Ben Pol ILA BADO NAJILAZIMISHA kuwaelewa JUX, VANESSA, DOGO JANJA na ROMA.
Kuna wengine Hawa wako hawaeelewi

Kila mmoja anavutiwa na anachokipenda

Wewe utapenda nyeusi yake yeye atapenda kekundu kako
 
[emoji23][emoji23][emoji23] yani saivi kuna wasanii kibaoo...na mim nataka niwe msanii
naweka zangu biti alafu naanza kukohoa hahahaha
Dogo analazimisha fani. Bora afungue jiko pale kwenye baa ya Uoya
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] " Anaimba mziki ambao hauna jina ila baada kuutafutia na kukosa jina la mziki ameamua kuita mziki biashara "
 
Dogo Janja anajua sana, sema ananikera mambo ya kuvaa vibrauzi na kikuku mguu wakushoto tu.
 
Na anajisifu jinsi anavyopewaga MAMBO YA UANI! 😱
Screenshot_2018-03-13-04-55-48-1-1.png
karibu hali itageuka, baada ya kupewa vya uani huenda akaanza kutoa vya uani.
 
Back
Top Bottom