Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23]Wayu wayu yooooooh wayu wayu oooooooh.
[emoji1] [emoji23]
Dogo anazingua au ndiyo bangi inapanda kichwani... [emoji4][emoji445] Lalala lelele um living my life[emoji445]
Muwache dogo buanaDogo anazingua au ndiyo bangi inapanda kichwani... [emoji4]
Imba wewe basi unaejuaHuyu na Queen darling sio wanamuziki..ni basi tu watanzania watu wasio jielewa.kifupu hawa sio wasanii wanaimba manyang'unyang'u
Tatizo vyuma vimekaza ameamua angalie upande wa pili kama grisi ni rahisi kupatikanaView attachment 714477 karibu hali itageuka, baada ya kupewa vya uani huenda akaanza kutoa vya uani.
nimejikuta nimecheka kwa sauti halafu ni usiku.. uyu jamaa/binti aache wivu au sioAcha wivu Mme wa MTU tayari Yule.
Uwezi kumuelewa kila mtu, unao waelewa wanatoshaHuyu mwanamuziki nimetokea kumfahamu pale alipofunga ndoa na binti mrembo Irene Uwoya, sasa nikaanza kusikiliza nyimbo zake.
Wajuvi wa mambo mnisaidie huyu huwa anaimba muziki wa aina gani?
Na hualikwa kwenye matamasha ama concert/show na watu wanalipa viingilio? Au anafanya hisani (bure).
Natanguliza shukrani.
Haya mummy nimekuelewa. [emoji4]Muwache dogo buana
Yes dogo Ni mkareeAnaimba mziki ambao ni wa kukuburudisha tu siyo wa kukuelimisha wala wa kukufanya utafakari ni mziki wa kukuburudisha tu huhitaji kuelewa sana anachoimba.
Personally toka amechange kidebe, ngarenaro, na ule mwingine jina limenitoka dogo namuelewa sana...