Mwinyi_ole_mushi
JF-Expert Member
- Oct 29, 2015
- 1,635
- 4,411
hujui muziki.ovaNdugu sina chuki dhidi yake, ni katika kutaka kujua wanamuziki na muziki hapa nchini Tanzania. So far nauelewa zaidi Muziki wa Diamond, Harmonize, Ally Kiba, Ben Pol ILA BADO NAJILAZIMISHA kuwaelewa JUX, VANESSA, DOGO JANJA na ROMA.
Hahahah,,,,,ndo wasanii wetu wa sasa hawaNa anajisifu jinsi anavyopewaga MAMBO YA UANI! 😱
Kama dogo sio msanii yupi kwako ndio msanii?Huyu na Queen darling sio wanamuziki..ni basi tu watanzania watu wasio jielewa.kifupu hawa sio wasanii wanaimba manyang'unyang'u
Kuna wengine Hawa wako hawaeelewiNdugu sina chuki dhidi yake, ni katika kutaka kujua wanamuziki na muziki hapa nchini Tanzania. So far nauelewa zaidi Muziki wa Diamond, Harmonize, Ally Kiba, Ben Pol ILA BADO NAJILAZIMISHA kuwaelewa JUX, VANESSA, DOGO JANJA na ROMA.
Na anajisifu jinsi anavyopewaga MAMBO YA UANI! 😱