Hahaha afadhali umesema ukweli, mimi sitaki hata kuusikia ni kama kamdhalilisha mlezi wake mwenye tatoo ya vimiguu vya paka.naupenda wake wa kidebe na my life,dogo janja kazanaaaaaaaaaa tunakukubali,ila huu wimbo mpya mbayaa kwa kweli
Ulikua haumjui[emoji1] [emoji1] [emoji124]Mlezi wake Bi. Irene?