donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
Salaam wakuu,
mimi ni mpenzi sana wa sanaa za mapigano na nilijiunga na Sensei Ringo pale TASHOKA (Tanzania Shotokan Karate) Russian culture centre ila nilijikuta na drop kutokana na gharama na pia kuona mikanda inatolewa kimaghumashi, kwa kifupi unaweza kukuta mtoto mhindi mdogo tu ana mkanda wa maana wakati hata mkijaribu kufanya sparring unampa mawashi moja mtoto anaanza kutapika visheti (no joke). kwa wakuu wale wataalam wa martial arts naomba mnirecommend dojo ambalo wanatoa mafunzo vizuri ya maana na kwa gharama nafuu niweze kujiunga mapema mwenzi december. Natanguliza shukrani za dhati!
mimi ni mpenzi sana wa sanaa za mapigano na nilijiunga na Sensei Ringo pale TASHOKA (Tanzania Shotokan Karate) Russian culture centre ila nilijikuta na drop kutokana na gharama na pia kuona mikanda inatolewa kimaghumashi, kwa kifupi unaweza kukuta mtoto mhindi mdogo tu ana mkanda wa maana wakati hata mkijaribu kufanya sparring unampa mawashi moja mtoto anaanza kutapika visheti (no joke). kwa wakuu wale wataalam wa martial arts naomba mnirecommend dojo ambalo wanatoa mafunzo vizuri ya maana na kwa gharama nafuu niweze kujiunga mapema mwenzi december. Natanguliza shukrani za dhati!