Msaada: Dojo kwa hapa Dar es Salaam

Msaada: Dojo kwa hapa Dar es Salaam

Habari wana JF
Nakaa Ubungo golani...kwa anayejua naomba anipe location ya dojo la karate mitaa ya uku nimpeleke mtoto wangu,seven Yrs Old.
Mkuu mie natafuta mitaa ya kinondoni nimpeleke dogo ye ni 3yrs
 
sio jazba wala usielewe vibaya, nenda jeshini kaangalie utanipa jibu sio makomando wala wanajeshi wa kawaida "karate" haifundishwi jeshini, jeshini wanafundishwa kupigana kuvunja vitu kuwa sugu na kadhalika sio karate/karatedo yeye ni mwalimu ambae ameshawahi na bado anafundisha wanajeshi. kwa hiyo ninachokuambia sio mbwembwe. kujua kupiga na kujua ufanyaji wa karate ni vitu viwili tofauti na havina uhusiano
Kiongozi if u dont mind naeza pata darasa la watoto la michezo hiyo wapi nataka nimpeleke dogo ana 3yrs naishi kinondon
 
Mimi napata tatizo sana hapo mtu anapodai sensei Chikoko ndio best kuliko wote. Labda aseme best kwenye Shotokan
ambayo ni competitive karate kama ambavyo Tae kwon do ilivyo competitive martial arts. kuna mifumo mingine
ya karate ambayo ni kwa ajili ya mapambano tu (combative) ambayo huikuti Olympics wala sehemu nyingine
ambazo ni za mashindano. Ukiikuta huko basi waashiriki wanashindana performance ya "kata" na wala si
mapambano. Mifumo hii inajumuisha Goju ryu na Kyokushin. Sasa Sensei Chikoko alipambanishwa na washiriki/wakufunzi wa hiyo mifumo ya aina hiyoTanzania? Maana wapo ila wamebana kimya tu.
Kuna sensei anaitwa yahya mgeni huyu mzee kwangu mm ndiye the best ,

Mwanaye alikuwa bingwa mashindano ya Africa na mwanafunzi mwingine wake yeye alikuwa wa kwanza east Africa

Ni mjumbe wa TASHOKA ,huyo chikoti simpati mwenye details zke aniambie
 
inaelekea unafwatilia vizuri anachofanya, hana ubabaishaji wala mambo ya kupeana hela ili kudanganyana. ukiwauliza hawa waalimu sijui ringo, sijui jango wafwata shule gani ya shotokan karate hawawezi kukujibu, ukiwauliza madaraja yao wamepata wapi na uthibitisho wanakukimbia kabisaaaaaa. sasa wanafundisha nini kama sio uhuni tu wanao uita karate
brother hiv huo mchezo na kickboxing ni upi mzuri zaidi
 
uncle ben, uko sahihi kuwa jeshini kareti inafundishwa tena na masensei walioiva vizuri kabisa, huyo mnaebishana nae anataka kuiweka kareti anayoifundisha huyo Chikoko as if ni kitu special mno ambacho wengi hawawezi, kwa taarifa tu ni kwamba jeshini kuna wataalam wa martial arts waliobobea sana, baadhi tu ya martial arts zinazofundishwa jeshini ni kama Kareti ( kwa mifumo yote) Tae kwon Do, Judo ( kombati), Krav maga, n.k, kwa hiyo asikudanganye eti huyo Chikoko anawafundisha wanajeshi as if jeshini hatuna masensei, pia aelewe kareti ya jeshini sio ya kupoteza miaka unahangaika na kata za kijinga zisizo na faida, jeshini unasukwa na kuiva tayari kwa lolote kwa mwaka mmoja tu.

Pia ajue tu kwamba tuna vikosi vilivyobobea kwa martial arts vikiongozwa na Sangasanga( 92kj) Ngerengere- Moro, kwa hiyo kama huyo chikoko anawafundisha wanajeshi labda ni kwenye dojo lake na sio kuletwa kikosini eti atoe martial art training kwa wanajeshi, hiyo haipo.
ila kiongozi samtym ma soldier syo kabisa, mmoja altukuta tunapiga tz maeneo ya arusha stadium akawa anatuelekeza isee ilkuwa balaa kwanza tulidens kama dk 90 alaf baada ya hapo akatuambia tupige shadow boxing yan kiujumla kwa hilo tizi alitukomoa maana kila kitu tulifanya kwa dk nyingi na ukizingatia ndo tulkuwa tunaanza
 
jamani karate imegawamyika. shoto kan, shorinji, gujuruu, KURENAI nk. sasa huwez sema kuwa mfulani ni mkali wa karate tz nzima wakat karate ni kama madhehebu ya dini.

by the way mimi naikubali saana tai chi ya udom. aliwah kuja mwalim mmoja wa karate lakin alipewa kijana mmoja tuu kwisha habar yaake.
 
Nenda Mbeya day kwa sensei mwalimu Msigwa, au Buguruni kwa master Scorpion
 
Kuna sensei anaitwa yahya mgeni huyu mzee kwangu mm ndiye the best ,

Mwanaye alikuwa bingwa mashindano ya Africa na mwanafunzi mwingine wake yeye alikuwa wa kwanza east Africa

Ni mjumbe wa TASHOKA ,huyo chikoti simpati mwenye details zke aniambie
huyu ndo namtafuta mimi,nafikir kuna kipind alikua tbc1 anafundsha kuptia kideo
 
sio jazba wala usielewe vibaya, nenda jeshini kaangalie utanipa jibu sio makomando wala wanajeshi wa kawaida "karate" haifundishwi jeshini, jeshini wanafundishwa kupigana kuvunja vitu kuwa sugu na kadhalika sio karate/karatedo yeye ni mwalimu ambae ameshawahi na bado anafundisha wanajeshi. kwa hiyo ninachokuambia sio mbwembwe. kujua kupiga na kujua ufanyaji wa karate ni vitu viwili tofauti na havina uhusiano
Kwa kusema karate haifundishwi jeshini naomba ututake radhi! Halafu wewe! Nakuomba uishie hapo!
 
huyu ndo namtafuta mimi,nafikir kuna kipind alikua tbc1 anafundsha kuptia kideo
Mkuu mtafute

2012 alijiunga na ISKF international shotokan karate federation chama cha shotokan duniani yalifanyika USA na huko alifanya grading ya Dan na master wengine ,kama sijakosea alifanya 10 Dan

Ukijifunza kwake utapata mkanda na cheti kinachotambulika na mashindano ya kidunia utafanya na mengine ya ndani kama ukitaka

Yupo poa na fair na hatozi hela ni bure kabisa ukitoka kwake utakuwa umeiva haswa
 
Kuna sensei mmoja alikua anafundisha maeneo ya mbagala kma unaenda kongowe karibu na shule ya st.mary opposite na sheli sijui kama mpka sasiv bado yupo maana nilipiga mazoez pale kitambo sana miaka ya 2007
Mkuu nielekeze vizur nina dogo langu hapa lipo kizembe zembe.
Ni msukume huko akachangamke
 
Mkuu mtafute

2012 alijiunga na ISKF international shotokan karate federation chama cha shotokan duniani yalifanyika USA na huko alifanya grading ya Dan na master wengine ,kama sijakosea alifanya 10 Dan

Ukijifunza kwake utapata mkanda na cheti kinachotambulika na mashindano ya kidunia utafanya na mengine ya ndani kama ukitaka

Yupo poa na fair na hatozi hela ni bure kabisa ukitoka kwake utakuwa umeiva haswa
mi nataka ya kupgia wajingawajinga kitaa wanaojifanya wababe
 
kwa kweeli jamani ulimweng wa martial arts umegawanyika saaana saana.
kuna hizo za ku showoff na za combat ambazo hata ukikutana na wajeda 10 hahaaaaaaaaaa unacheka tuu.

binafsi siiamini karate japo ndiko nilikoanzia msingi wanguu
ila tai chi ni nzuri saana kwa kweeli. nzuri mnoo
 
kwa kweeli jamani ulimweng wa martial arts umegawanyika saaana saana.
kuna hizo za ku showoff na za combat ambazo hata ukikutana na wajeda 10 hahaaaaaaaaaa unacheka tuu.

binafsi siiamini karate japo ndiko nilikoanzia msingi wanguu
ila tai chi ni nzuri saana kwa kweeli. nzuri mnoo
Walimu wa Tai chi wapo kweli hapa nchini
 
Back
Top Bottom