Ili tatizo mm nilikuwa nalo hasa wakati wa joto, Kuna memba humu alitoa mwongozo wa tiba ya fungusi sugu , nami nikatumia hiyo formula mpaka sasa Niko poa , Saga vitunguu swaumu, tangawizi chemcha , then ichuje upate juice changanya na asali, kunywa vijiko 2 mpaka 3 as before b, fast na jioni before dinner Kwa wiki 1,, utapona mkuu