Toyota DuetWadau! Ninaishi Chanika na ninafanya kazi Kariakoo. Ninamiliki Rav4 lakini naona inanielemea kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta.
Ombi langu kwenu:-Nataka kununua gari lenye CC chache ambalo halitani-cost sana katika matumizi ya mafuta. Kupitia mawazo yenu, naweza kufikia uamuzi wa gari gani ninunue. CC 650 (gari kama Pajero mini, Suzuki Jimny) hadi CC 1500 ni muafaka zaidi.
Nawasilisha
Wale watumiaji wa TZ 11 tunasema igweeeeeeeee.Basi Sawa. Ila umeme nao umepanda bei na unakatika mara kwa mara. Yawezekena magari yanayotumia LUKU ndio yanaongoza kwa kuzimikia njiani
Ile ni piston tatu, uzoefu wa mafundi nao itakuwa changamoto kwake
Mmmh basi anunue la umeme..Duet ni gari ngumu sana na fuel consumption iko vizuri pia.Ile ni piston tatu, uzoefu wa mafundi nao itakuwa changamoto kwake
Jibu lako unalo kwenye Uzi wako sasa mbona unatuuliza Tena?Wadau! Ninaishi Chanika na ninafanya kazi Kariakoo. Ninamiliki Rav4 lakini naona inanielemea kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta.
Ombi langu kwenu:-Nataka kununua gari lenye CC chache ambalo halitani-cost sana katika matumizi ya mafuta. Kupitia mawazo yenu, naweza kufikia uamuzi wa gari gani ninunue. CC 650 (gari kama Pajero mini, Suzuki Jimny) hadi CC 1500 ni muafaka zaidi.
Nawasilisha
Hii bei ya piki piki yangu
Sasa hivi, Toyota Vitz
Imekua ni chaguo la wengi sana.
Mfano mzuri ni hii ambayo tulimuagizia mteja hapa
Zimekua ni chaguo la wengi kwasasa.
Gharama ni TZS 9.8MIL pamoja na usajili.
Fashion, napia gharama ndogo za running cost.Hivi ist wanazipendea nini
Ist sio fashion labda low running costFashion, napia gharama ndogo za running cost.
Tesla. Hii haili kabisa... Bonge moja la gari.Wadau! Ninaishi Chanika na ninafanya kazi Kariakoo. Ninamiliki Rav4 lakini naona inanielemea kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta.
Ombi langu kwenu:-Nataka kununua gari lenye CC chache ambalo halitani-cost sana katika matumizi ya mafuta. Kupitia mawazo yenu, naweza kufikia uamuzi wa gari gani ninunue. CC 650 (gari kama Pajero mini, Suzuki Jimny) hadi CC 1500 ni muafaka zaidi.
Nawasilisha
Nunua suzuki alito aisee hautajutia pesa yakoWadau! Ninaishi Chanika na ninafanya kazi Kariakoo. Ninamiliki Rav4 lakini naona inanielemea kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta.
Ombi langu kwenu:-Nataka kununua gari lenye CC chache ambalo halitani-cost sana katika matumizi ya mafuta. Kupitia mawazo yenu, naweza kufikia uamuzi wa gari gani ninunue. CC 650 (gari kama Pajero mini, Suzuki Jimny) hadi CC 1500 ni muafaka zaidi.
Nawasilisha
Swift yenyewe inaishia kunusa tu mafutaUnaweza ukakwepa bei ya mafuta ukaingia bei ya matengezo.
Baki Toyota hapo hapo.
Chukua (1) IST ila uko Chanika lazima utaamka siku imeibwa au imevuliwa kila kitu.
(2) Paso kama wewe dereva mzuri na utaridhika na ile shape mbaya.
(3) Runx/Alex kama haukai madongo kuinama sana.
JITU LA MIRABA MINNE
Huijui Pajero mini ni miongoni mwa gari ngumu Ina engine ya piston 4 tena ukipata yenye turbo ndio bora zaidi tana katika kei car ngumu ni hii kuliko zingine kama Daihatsu Mira, Daihatsu move,Suzuki alto, Toyota pixis,Gari inayokula mafuta kidogo ina horse power ya 58 na ni pajero mini cc650 bro ile ni taka taka.
Tuache mawazo ga kimaskini na uoga wa maisha, hicho kigari kina cylinder 3 jichanganye ukinunue, kikianza kuzingua utapiga trip za garage mpaka mafundi watakukimbia.
Ni afadhali ukanunua bajaji au boda boda 4 zikakupa hela ukaachana na hicho kidude.
Atleast tafuta gari ya cc 1200 and above itaweza kukusogeza na shida zako.
Mkuu fafanua vizuri hii tufaidike nayoSi uJifunze kutengeneza mafuta ya gari yako kwann uhangaike kuwachangia wao KILA siku.
Me nataka gari inayokunywa mafuta sio shida.
Natumia E85 yaani mixing ya petrol na ethanol kwa ratio ya petrol 15 na ethanol 85.
Mkuu fafanua vizuri hii tufaidike nayo, kufafanua kwenye nini, utengenezaji wa ethanol, au aina zingine za mafuta mbadala ikiwemo diesel na gas kwa ajili ya mashine.