Msaada: Gari gani linakula mafuta kidogo?

Msaada: Gari gani linakula mafuta kidogo?

Wadau! Ninaishi Chanika na ninafanya kazi Kariakoo. Ninamiliki Rav4 lakini naona inanielemea kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta.

Ombi langu kwenu:-Nataka kununua gari lenye CC chache ambalo halitani-cost sana katika matumizi ya mafuta. Kupitia mawazo yenu, naweza kufikia uamuzi wa gari gani ninunue. CC 650 (gari kama Pajero mini, Suzuki Jimny) hadi CC 1500 ni muafaka zaidi.

Nawasilisha
Toyota Duet

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si uJifunze kutengeneza mafuta ya gari yako kwanini uhangaike kuwachangia wao KILA siku.

Me nataka gari inayokunywa mafuta sio shida. Natumia E85 yaani mixing ya petrol na ethanol kwa ratio ya petrol 15 na ethanol 85.
 
Brazil wao waliona waarabu wasiwapasue vichwa wakajikita kuzalisha ethanol ndo wanatumia kwenye magari yao 80%. Gari yeyeto ya petrol inatumia ethanol bila shida yeyeto hasa hizi hybrid unaweza ukatumia. Tuachane na mafuta ya Mwarabu yanakula hela zetu bure tuzalishe biofuel kwa wingi mbona raw materials tele nchini. Mafuta ya Mwarabu yanaua uchumi.
 
Wadau! Ninaishi Chanika na ninafanya kazi Kariakoo. Ninamiliki Rav4 lakini naona inanielemea kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta.

Ombi langu kwenu:-Nataka kununua gari lenye CC chache ambalo halitani-cost sana katika matumizi ya mafuta. Kupitia mawazo yenu, naweza kufikia uamuzi wa gari gani ninunue. CC 650 (gari kama Pajero mini, Suzuki Jimny) hadi CC 1500 ni muafaka zaidi.

Nawasilisha
Jibu lako unalo kwenye Uzi wako sasa mbona unatuuliza Tena?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hivi ist wanazipendea nini
Sasa hivi, Toyota Vitz

Imekua ni chaguo la wengi sana.
Mfano mzuri ni hii ambayo tulimuagizia mteja hapa

Zimekua ni chaguo la wengi kwasasa.
Gharama ni TZS 9.8MIL pamoja na usajili.
 
Fashion, napia gharama ndogo za running cost.
Ist sio fashion labda low running cost

Juzi Niko msibani sehemu kimekuja ki ist kipya kimedidimia nyuma kabisa wakashuka wamama wawili na mdingi mmoja nyuma, nimeshangaa sana kugundua ist kakibeba mtu tano kanakuwa vile 😁 Sasa kwenye buti wakiweka mzigo je

Yani bajaji tvs ikibeba hata watu wameshiba vipi watatu hakaezi bonyea vile
 
Wadau! Ninaishi Chanika na ninafanya kazi Kariakoo. Ninamiliki Rav4 lakini naona inanielemea kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta.

Ombi langu kwenu:-Nataka kununua gari lenye CC chache ambalo halitani-cost sana katika matumizi ya mafuta. Kupitia mawazo yenu, naweza kufikia uamuzi wa gari gani ninunue. CC 650 (gari kama Pajero mini, Suzuki Jimny) hadi CC 1500 ni muafaka zaidi.

Nawasilisha
Tesla. Hii haili kabisa... Bonge moja la gari.
 
Gari za umeme hazitumii mafuta kabisa [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wadau! Ninaishi Chanika na ninafanya kazi Kariakoo. Ninamiliki Rav4 lakini naona inanielemea kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta.

Ombi langu kwenu:-Nataka kununua gari lenye CC chache ambalo halitani-cost sana katika matumizi ya mafuta. Kupitia mawazo yenu, naweza kufikia uamuzi wa gari gani ninunue. CC 650 (gari kama Pajero mini, Suzuki Jimny) hadi CC 1500 ni muafaka zaidi.

Nawasilisha
Nunua suzuki alito aisee hautajutia pesa yako
 
Unaweza ukakwepa bei ya mafuta ukaingia bei ya matengezo.

Baki Toyota hapo hapo.

Chukua (1) IST ila uko Chanika lazima utaamka siku imeibwa au imevuliwa kila kitu.

(2) Paso kama wewe dereva mzuri na utaridhika na ile shape mbaya.

(3) Runx/Alex kama haukai madongo kuinama sana.

JITU LA MIRABA MINNE
Swift yenyewe inaishia kunusa tu mafuta
 
Gari inayokula mafuta kidogo ina horse power ya 58 na ni pajero mini cc650 bro ile ni taka taka.

Tuache mawazo ga kimaskini na uoga wa maisha, hicho kigari kina cylinder 3 jichanganye ukinunue, kikianza kuzingua utapiga trip za garage mpaka mafundi watakukimbia.

Ni afadhali ukanunua bajaji au boda boda 4 zikakupa hela ukaachana na hicho kidude.

Atleast tafuta gari ya cc 1200 and above itaweza kukusogeza na shida zako.
Huijui Pajero mini ni miongoni mwa gari ngumu Ina engine ya piston 4 tena ukipata yenye turbo ndio bora zaidi tana katika kei car ngumu ni hii kuliko zingine kama Daihatsu Mira, Daihatsu move,Suzuki alto, Toyota pixis,
 
Si uJifunze kutengeneza mafuta ya gari yako kwann uhangaike kuwachangia wao KILA siku.
Me nataka gari inayokunywa mafuta sio shida.
Natumia E85 yaani mixing ya petrol na ethanol kwa ratio ya petrol 15 na ethanol 85.
Mkuu fafanua vizuri hii tufaidike nayo
 
Mkuu fafanua vizuri hii tufaidike nayo, kufafanua kwenye nini, utengenezaji wa ethanol, au aina zingine za mafuta mbadala ikiwemo diesel na gas kwa ajili ya mashine.
 
Back
Top Bottom