Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
gari yoyote ikishatumika value inashuka.Naomba kujua kwa nini siku hiz subaru forester xt zinauzwa bei rahis zikishatumika hapa bongo... Zina matatizo gani??
Tatizo ni gari legelege ambayo kila saa inataka ipewe mahaba na kupetiwa.Dualis ni kama IST ya kampuni ya nissan ila uzuri yenyewe ina ground clearance nzuri kidogo yani ukiipanda inakupa feeling ya SUV!
nasikia gera box yake chenga sanaChukua Dualis kwa mazingira ya kawaida km huna safari ndefu mara kwa mara nadhani pia ulaji wa mafuta wake ni mdogo
He he he he! Gari zenye mapenzi ya pesa hizo zinapenda hela zako kuliko wewe mmiliki😂😂😂!Tatizo ni gari legelege ambayo kila saa inataka ipewe mahaba na kupetiwa.
Dualis ni gari yenye design nzuri sana,ground clearance nzuri,technolojia za kisasa na kadhalika lakini ndiyo hivyo tena!He he he he! Gari zenye mapenzi ya pesa hizo zinapenda hela zako kuliko wewe mmiliki😂😂😂!
Toyota atabaki kuwa wife material miaka nenda rudi
Haina mapenz ya kweli hio kwani hata slay queen huwa na teknolojia ya kisasa kuanzia makeup, makucha, perfume na madini mbali mbali bila kusahau mbwembwe!Dualis ni gari yenye design nzuri sana,ground clearance nzuri,technolojia za kisasa na kadhalika lakini ndiyo hivyo tena!
🤣🤣🤣Haina mapenz ya kweli hio kwani hata slay queen huwa na teknolojia ya kisasa kuanzia makeup, makucha, perfume na madini mbali mbali bila kusahau mbwembwe!
Ila ndio hivyo tena...dah!
[emoji1][emoji1][emoji1]Tatizo ni gari legelege ambayo kila saa inataka ipewe mahaba na kupetiwa.
Nimeishiwa pozi..[emoji1][emoji1][emoji38][emoji38]Haina mapenz ya kweli hio kwani hata slay queen huwa na teknolojia ya kisasa kuanzia makeup, makucha, perfume na madini mbali mbali bila kusahau mbwembwe!
Ila ndio hivyo tena...dah!
Unafahamu sababu zinazofanya gari kuwaka moto..????Uamuzi ni wako..View attachment 1883243
Hii ni Toyota Hiace inateketea...Uamuzi ni wako..View attachment 1883243
Hii ni prado inateketea...Uamuzi ni wako..View attachment 1883243
Inatumia gearbox aina ya CVT ambayo ina oil yake specific. Hautakiwi kuweka hizi oil za kawaida za ATF.nasikia gera box yake chenga sana
Afadhali team Nissan umekuja tuwakere team Toyota.... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unafahamu sababu zinazofanya gari kuwaka moto..????
Hii ni rav4 miss Tanzania...View attachment 1891339
Hizi gari ni loyal sana kwa watu wanaojali magari yao. Imagine oil yake ya gear box inalast kwa zaidi ya 80,000 km. Ni gari ngumu na hata ukiikuta iliyotumika muda mrefu kuirestore ni dakika chache tu.Haina mapenz ya kweli hio kwani hata slay queen huwa na teknolojia ya kisasa kuanzia makeup, makucha, perfume na madini mbali mbali bila kusahau mbwembwe!
Ila ndio hivyo tena...dah!
Ulege lege ni upi huo.... Me naitumia hebu tuelezee mkuu?!Tatizo ni gari legelege ambayo kila saa inataka ipewe mahaba na kupetiwa.