Msaada gari ipi nzuri kati ya subaru Forester xt Outlander na Nissan Dualis

Msaada gari ipi nzuri kati ya subaru Forester xt Outlander na Nissan Dualis

Ulege lege ni upi huo.... Me naitumia hebu tuelezee mkuu?!
Haiwezi kuhimili mazingira kama haya👇
sunnymoney-tanzania.jpg
sunnymoney-tanzania-2.jpg
chncdhaHR0cDovL3dpa3JleHBvcnQuY29tL3dwLWNvbnRlbnQvdXBsb2Fkcy8yMDE2LzA4L3JvYWRzLWFmcmljYS10ZXJy...jpg
chncdhaHR0cDovL3dpa3JleHBvcnQuY29tL3dwLWNvbnRlbnQvdXBsb2Fkcy8yMDE2LzA4L3JvYWRzLWFmcmljYS10ZXJy...jpg
20210817_135937_temp.jpg
 
Hii ni prado inateketea...
Suala la gari kuwaka moto kunasababishwa na mambo mengi sana...

Kwa kuwa Dualis imeungua, haina maana kuwa brands za toyota haziungui..

Mara nyingi magari yanayoungua hapa bongo ni kutokana na kuchokonoa mifumo ya wiring ya gari..

kwa mfano, kufunga music system kwa kutumia mafundi wasio na ujuzi..

Kuongeza wiring za taa mfano fog lights endapo gari haikuwa na mfumo huo...

Sababu zipo nyingi sana...View attachment 1891343
Mkuu umeamua kumsagia kunguni Toyopet 😂😂😂
 
Hakuna gari utataka kuuza ukose wateja.....!
Ila hutauza kwa bei muafaka! Nakuhakishia hilo IST ni bei rahisi kuliko hio Nissan ila kwenye swala la kuiuza IST itauzwa aghali kuliko hio Dualis!

IST unayonunua mpya leo 13M labda namba DWZ ukitaka kuiuza next year mwezi kama huu utaiuza 10M chap bila shida ila ukitaka kuuza Dualis ulionunua 18M ya namba DWZ sawa na ile IST ukimpata mtu wa 10M ukatoe na fungu la 10 kabisa!
 
Ila hutauza kwa bei muafaka! Nakuhakishia hilo IST ni bei rahisi kuliko hio Nissan ila kwenye swala la kuiuza IST itauzwa aghali kuliko hio Dualis!

IST unayonunua mpya leo 13M labda namba DWZ ukitaka kuiuza next year mwezi kama huu utaiuza 10M chap bila shida ila ukitaka kuuza Dualis ulionunua 18M ya namba DWZ sawa na ile IST ukimpata mtu wa 10M ukatoe na fungu la 10 kabisa!
Aaaaaaaah ha ha ha ha ha ha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] comred umeamua kuwa mchungu kwa teamc Nissan kiasi hiki.

Mbona zikimbiza sana huku sokoni. Na wamiliki wanatamba kabisa.

Me ilibidi niagizie maana huku mtaani watu wanaleta bei za tamaa.
 
Aaaaaaaah ha ha ha ha ha ha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] comred umeamua kuwa mchungu kwa teamc Nissan kiasi hiki.

Mbona zikimbiza sana huku sokoni. Na wamiliki wanatamba kabisa.

Me ilibidi niagizie maana huku mtaani watu wanaleta bei za tamaa.
Hahahahah kama una hela ya kuagiza gari hata kuuza huwa sio priority
 
Afadhali team Nissan umekuja tuwakere team Toyota.... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3][emoji2957][emoji2957][emoji2957]watu wanapenda ku..generalize mambo
 
Back
Top Bottom