Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haiwezi kuhimili mazingira kama haya👇Ulege lege ni upi huo.... Me naitumia hebu tuelezee mkuu?!
So gari ya Nissan kuwapo gereji ina maana gani mbaya?!Kuna siku nimeenda garage moja hivi ya wazi nikakuta Nissan 3 zinatengenezwa.
Gari aina mbali mbali huwa zinaungua hii sio ya kwanza......Uamuzi ni wako..View attachment 1883243
Wewe mdada wa kichaga karibu mbege😁😁😁XT for me.
Hata mimi wa kike sitaki hiyo dualis. Imekaa kwenda kisupermarket sana
Hakuna gari utataka kuuza ukose wateja.....!Kuna wakati atataka kuuza kununua nyingine kupata wateja ni shida ww huoni dualis zilikuja Kasi saizi nyingi zimepaki[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
mwamba si ndio ana hudumia mkuuHiyo gari mademu hawaiwezi kuimudu inataka uanaume kuimudu. Ukiona mwanamke anatumia jua ni ya mumewe.
Ha ha ha haika mbee... ngikundi kitambua mbeWewe mdada wa kichaga karibu mbege[emoji16][emoji16][emoji16]
Hata 790,000/= ipo. Si umeiona ile starlet old model?[emoji23][emoji23][emoji119]Hakuna gari utataka kuuza ukose wateja.....!
Mkuu umeamua kumsagia kunguni Toyopet 😂😂😂Hii ni prado inateketea...
Suala la gari kuwaka moto kunasababishwa na mambo mengi sana...
Kwa kuwa Dualis imeungua, haina maana kuwa brands za toyota haziungui..
Mara nyingi magari yanayoungua hapa bongo ni kutokana na kuchokonoa mifumo ya wiring ya gari..
kwa mfano, kufunga music system kwa kutumia mafundi wasio na ujuzi..
Kuongeza wiring za taa mfano fog lights endapo gari haikuwa na mfumo huo...
Sababu zipo nyingi sana...View attachment 1891343
Ila hutauza kwa bei muafaka! Nakuhakishia hilo IST ni bei rahisi kuliko hio Nissan ila kwenye swala la kuiuza IST itauzwa aghali kuliko hio Dualis!Hakuna gari utataka kuuza ukose wateja.....!
KabisaHata 790,000/= ipo. Si umeiona ile starlet old model?[emoji23][emoji23][emoji119]
Aaaaaaaah ha ha ha ha ha ha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] comred umeamua kuwa mchungu kwa teamc Nissan kiasi hiki.Ila hutauza kwa bei muafaka! Nakuhakishia hilo IST ni bei rahisi kuliko hio Nissan ila kwenye swala la kuiuza IST itauzwa aghali kuliko hio Dualis!
IST unayonunua mpya leo 13M labda namba DWZ ukitaka kuiuza next year mwezi kama huu utaiuza 10M chap bila shida ila ukitaka kuuza Dualis ulionunua 18M ya namba DWZ sawa na ile IST ukimpata mtu wa 10M ukatoe na fungu la 10 kabisa!
Hahahahah kama una hela ya kuagiza gari hata kuuza huwa sio priorityAaaaaaaah ha ha ha ha ha ha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] comred umeamua kuwa mchungu kwa teamc Nissan kiasi hiki.
Mbona zikimbiza sana huku sokoni. Na wamiliki wanatamba kabisa.
Me ilibidi niagizie maana huku mtaani watu wanaleta bei za tamaa.
[emoji3][emoji2957][emoji2957][emoji2957]watu wanapenda ku..generalize mamboAfadhali team Nissan umekuja tuwakere team Toyota.... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]..nilitaka tu mdau afahamu kuwa gari lologe linaweza kuungua kutokana na hitilafu la kiufundiMkuu umeamua kumsagia kunguni Toyopet [emoji23][emoji23][emoji23]
Huko hata cruiser mkonge siwezi ipeleka.......Haiwezi kuhimili mazingira kama haya[emoji116]View attachment 1895502View attachment 1895503View attachment 1895504View attachment 1895505View attachment 1895506
Hizi dharau sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]XT for me.
Hata mimi wa kike sitaki hiyo dualis. Imekaa kwenda kisupermarket sana
Eeeeh..... Unakosaje mteja wa gari kwa mfanoHata 790,000/= ipo. Si umeiona ile starlet old model?[emoji23][emoji23][emoji119]