Msaada: Gharama za kuingia Ngorongoro National Park (kiingilio, malazi, Chakula)

Msaada: Gharama za kuingia Ngorongoro National Park (kiingilio, malazi, Chakula)

DR.MBWEMBWE

Member
Joined
Nov 27, 2012
Posts
19
Reaction score
20
Habari wanaJF, mimi ni Mtanzania nataka kufahamu gharama za kutalii Ngorongoro national park (kiingilio, Malazi na Chakula) maana natamani kwenda ila nahofia nisije kuumbuka kwenye bajeti.
 
Habari wanaJF, mimi ni Mtanzania nataka kufahamu gharama za kutalii Ngorongoro national park ( kiingilio, Malazi na Chakula) maana natamani kwenda ila nahofia nisije kuumbuka kwenye bajeti.
kukodisha gari inaanzia laki 4 kwa siku na ushuru wake wa kuingia mbugani kwa gari
kulala siyo lazima ulale mbugani, lala hata arusha, mto wa mbu au karatu, bei za kulala zinatofautiana kama miji mingine
kula nayo ni kwa uwezo wako
 
Nimejaribu kutafuta nimepata gharama za kiingilio tu ambazo ni affordable tu.
Kwa upande wa chakula na malazi sifahamu lolote na hapa ndio huwa tunapoumbukaga maana unaweza ukashtukizwa Soda Tsh 10,000/=.
Jaribu kutafta huenda wana tovuti yao
 
Habari wanaJF, mimi ni Mtanzania nataka kufahamu gharama za kutalii Ngorongoro national park ( kiingilio, Malazi na Chakula) maana natamani kwenda ila nahofia nisije kuumbuka kwenye bajeti.
Mkuu kwa wazawa ni sawa na bure
 
National park zote kiingilio ilikuwa10000 sijui kwasasa
 
NI conversation area na sio national park
Mkuu Ngorongoro ni national Park kwa Tanzania, Kwa Dunia ndio Conservation Area /Dunia Urithi wa Dunia, Ilitengwa maalumu ( hii haiondoi kuwa National Park;
Ndio maana ikawekewa Mamlaka yake maalumu NCAA, badala ya kutegemea TANAPA peke yake;

Ila ipo pia Under Tanapa kwa Nationa park, ni Mbuga ya Pili kwa Ukubwa Hapa Tz
 
Habari wanaJF, mimi ni Mtanzania nataka kufahamu gharama za kutalii Ngorongoro national park (kiingilio, Malazi na Chakula) maana natamani kwenda ila nahofia nisije kuumbuka kwenye bajeti.
Hii hapa
Screenshot_20220331-124106_Adobe%20Acrobat.jpg
 
Nimejaribu kutafuta nimepata gharama za kiingilio tu ambazo ni affordable tu.
Kwa upande wa chakula na malazi sifahamu lolote na hapa ndio huwa tunapoumbukaga maana unaweza ukashtukizwa Soda Tsh 10,000/=.
Ameuliza kiingilio huenda ana private
Screenshot_20220331-124106_Adobe%20Acrobat.jpg
 
Mkuu Ngorongoro ni national Park kwa Tanzania, Kwa Dunia ndio Conservation Area /Dunia Urithi wa Dunia, Ilitengwa maalumu ( hii haiondoi kuwa National Park;
Ndio maana ikawekewa Mamlaka yake maalumu NCAA, badala ya kutegemea TANAPA peke yake;

Ila ipo pia Under Tanapa kwa Nationa park, ni Mbuga ya Pili kwa Ukubwa Hapa Tz
Hizi taarifa zako hazipo sawa. Ngorongoro haiwezi kuwa chini ya TANAPA hata siku moja, wala NCAA sio hifadhi. Aliyesema ni Conservation area yupo sawa kabisa Mkuu.
 
Habari wanaJF, mimi ni Mtanzania nataka kufahamu gharama za kutalii Ngorongoro national park (kiingilio, Malazi na Chakula) maana natamani kwenda ila nahofia nisije kuumbuka kwenye bajeti.
Sio National Park hio ni Conservation, Haina Vigezo vya kuitwa National Park
 
Mkuu Ngorongoro ni national Park kwa Tanzania, Kwa Dunia ndio Conservation Area /Dunia Urithi wa Dunia, Ilitengwa maalumu ( hii haiondoi kuwa National Park;
Ndio maana ikawekewa Mamlaka yake maalumu NCAA, badala ya kutegemea TANAPA peke yake;

Ila ipo pia Under Tanapa kwa Nationa park, ni Mbuga ya Pili kwa Ukubwa Hapa Tz
Haiwezi kuw National Park make kuna human activities ndani mule, Serengeti National Park haiwezi kuwa sawa na Ngorongoro,
 
Ndio maana vijana mnaambiwa mmechanganyikiwa. Hivi hadi leo hujui kuwa Ngoro*2 ni conservation place/area..!!!
 
Back
Top Bottom