Msaada: Gharama za kuingia Ngorongoro National Park (kiingilio, malazi, Chakula)

Msaada: Gharama za kuingia Ngorongoro National Park (kiingilio, malazi, Chakula)

Mkuu Ngorongoro ni national Park kwa Tanzania, Kwa Dunia ndio Conservation Area /Dunia Urithi wa Dunia, Ilitengwa maalumu ( hii haiondoi kuwa National Park;
Ndio maana ikawekewa Mamlaka yake maalumu NCAA, badala ya kutegemea TANAPA peke yake;

Ila ipo pia Under Tanapa kwa Nationa park, ni Mbuga ya Pili kwa Ukubwa Hapa Tz
Usipende ligi mkuu, tangu lini ngorongoro ipo chini ya TANAPA?

Umewahi kuona wapi binadamu wanaishi kwenye national park
 
Usipende ligi mkuu, tangu lini ngorongoro ipo chini ya TANAPA?

Umewahi kuona wapi binadamu wanaishi kwenye national park
Halafu bila aibu anamalizia " Tena ndiyo mbuga ya pili kwa ukubwa Tanzania"

Huyu ni kijana anayetegemewa na Taifa,aibu kubwa!
 
Back
Top Bottom