Msaada hapa wapendwa; Ananipa kila kitu lakini ana kibamia

Jamani penny sijamuelewa anahitaji nini zaidi? mbinu za kutoroka uje au Dawa kwa zee lake ushukushu ukue... kuna dawa Dushe linakua kama la Punda... hadi kizazi chako kitaharibika
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wadada bwana!!! Tuna mambo!!!
Hapo mbona rahisi shosti!!! Chukua mizani pima kipi kina uzito!!! Hayo mahela na dudu tamu kipi unakihitaji zaidi?!!!!

Ila mi namtamani huyo alioumbika hivyoooo!
 
Bado nauliza! Wanawake mnahitaji mpewe nini kutoka kwa wanaume? Pesa? Mapenzi mujarabu? Handsome? Husband material? Mcha mungu? Nauliza hitaji lenu nijitathmini upya.
Tukipata vyote plus mkono wa mtoto tutashukuru

So y Unaanzisha uzi mbali mbali za Dushe kubwa na ndogo.......????
Sababu ya high demand mtaani ndio maana tunatafuta suluhu kwa vyote

Huna maufund ya kuenjoy kibamia fupi tamu ndefu inakera
Aisee naona unachanganya habari kama kawaida yako wa kupamia gari kwa mbele
Soma ujumbe vzuri mie sio muhusika bro
 
Kwani Kwichikwichi iyo itakuwa Ya Mashindano.........??
Ata sielewi bro


Jamani penny sijamuelewa anahitaji nini zaidi? mbinu za kutoroka uje au Dawa kwa zee lake ushukushu ukue... kuna dawa Dushe linakua kama la Punda... hadi kizazi chako kitaharibika
Anahitaji msaada amfanyaje mpenz wake kwa sekta ya kibamia ili wote wa enjoy

Bila kusoma nisingejua ni uongo,
Hadithi hadithi za kupoteza muda
Basi kwaheri mama wasalimie

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wadada bwana!!! Tuna mambo!!!
Hapo mbona rahisi shosti!!! Chukua mizani pima kipi kina uzito!!! Hayo mahela na dudu tamu kipi unakihitaji zaidi?!!!!

Ila mi namtamani huyo aliombika hivyoooo!
Du! Majanga. Jamani m comment basi suluhu sio mipasho jamaa

Ukimpenda penda jinsi alivyo.otherwise achia nafasi watu waitumie
Hehe utajuaje labda mwenye kibamia alishakimbiwa na wengi alipoona dada hakumbii akamfanyia show kama zile hehe
 
Amewahi kusema jamaa ana kibamia. Ukute jamaa nae kwa washkaji zake anasema yule demu ana bwawa mtera cha mtoto. Sasa hapo tutamuamini yupi.
 
Naomba nikupe jina jipya Mama Makusanyo maana quote zote umezikusanya na kujibu mumo kwa mumo
 
Sasa badala ya kuomba upewe nyumba umewekwa uko oysterbay utamuacha huyo kibamia wako ubaki na historia ulikuwa unaishi huko majuu
 
Hivi uume ukiwa inch ngapi ndy afadhali maana ukijiagalia mwenyewe unaiona ndogo mwezako anakwambia una bomba la mashine xaxa kibamia ni inch 1 au 2 au 3 maana mimi hata sijui kama ni kubwa au ndogo
 
Amewahi kusema jamaa ana kibamia. Ukute jamaa nae kwa washkaji zake anasema yule demu ana bwawa mtera cha mtoto. Sasa hapo tutamuamini yupi.
Hii ngumu kumeza

Naomba nikupe jina jipya Mama Makusanyo maana quote zote umezikusanya na kujibu mumo kwa mumo
Kha! MONEY PENNY linanitosha

Hivi uume ukiwa inch ngapi ndy afadhali maana ukijiagalia mwenyewe unaiona ndogo mwezako anakwambia una bomba la mashine xaxa kibamia ni inch 1 au 2 au 3 maana mimi hata sijui kama ni kubwa au ndogo

Nadhan nchi 4 kushuka chini ndo kibamia

Ndio yeye huyu
Ahahaha me sio @lara1 buana achen mzaha
 
Wachache sana wanaoweza kuwa na hivyo vitu vyote! Na kwa uchache wao kuna uwezekano mkubwa usimpate hata mmoja.
 
Nikuulize kitu kimoja cha maana,je hizo hela umeshafanya nini nazo cha maana ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…