Adolph Jr
JF-Expert Member
- Nov 5, 2016
- 5,950
- 9,511
- Thread starter
- #61
Big No.....yaani hakuna kitu kinaitwa kurudiana au ndoa Mkuu kama umeona hakuna Msaada Wa kuachana bora ukae kimya heri nusu Shari kuliko Shari kamili .....SIMTAKI elewa please....ata kama Ni kugawana heri kuliko kurudiana...Acha Basi kumpoteza mwenzio, usumbufu wote huo wa Nini! Mwanasheria atamlipa maneno! Sheria ya ndoa unaijua kweli we! We mpoteze mwenzio! Hapa mawili, mlipe au bariki ndoa, mengineyo utakuja Tena hapa ukilialia hasa akipata kocha mzuri huyo mkeo!