No Escape2
JF-Expert Member
- Jul 4, 2020
- 228
- 323
Solution rahisi na haraka ni kununua TV nyingine
Dah! Nyumba moja tv 2...Solution rahisi na haraka ni kununua TV nyingine
Exactly, afu anajifungia chumbani kimyaaaSolution rahisi na haraka ni kununua TV nyingine
Nipe ushauri nifunge uzi mkuu...Mimi imenifika shingoni.Mkuu....
Hivi hili nalo la kuanzisha thread kweli...[emoji848][emoji848]
Amakweli wanaume tunatofautiana sana....[emoji23][emoji23][emoji23]
Na king'amuzi su splitaSolution rahisi na haraka ni kununua TV nyingine
Siyo rahisi, hapo solution ni baba kumwachia mama TV.
Ila awe anarudi muda ambao taarifa imeshaisha. Hakuna sababu ya kuwahi home kuja kugombana.
Dah! Nyumba moja tv 2...
Na king'amuzi su splita
Ahsante, ntajaribu.Mbona ni kawaida
Mie naona rahisi ni hiyo
Mmoja atakuwa mfano anaangalia tamthilia bedroom,mwingine habari sitting room
Dah! Ilishashindikana,muda wa Taarifa ya Habari ukikaribia,natafuta remote kumbe mtu yupo nayo jioni.Peaneni zamu ya kuangalia, leo tamthilia kesho habari.
Muiweke kabisa ratiba sebleni
Kwa chemistry ya kifamilia, hili halitakiwi.
Ni sheria tu inapita, taarifa ya habari haina discussion, nikiwa home ni lazima tuangalie.