Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,229
- 50,144
Amekuzidi ujanja😀😀Dah! Ilishashindikana,muda wa Taarifa ya Habari ukikaribia,natafuta remote kumbe mtu yupo nayo jioni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amekuzidi ujanja😀😀Dah! Ilishashindikana,muda wa Taarifa ya Habari ukikaribia,natafuta remote kumbe mtu yupo nayo jioni.
Elimu hii nimeshafika lakini imeshindikana...yaani,kutumia nguvu sio poa.Kwa chemistry ya kifamilia, hili halitakiwi.
Ni sheria tu inapita, taarifa ya habari haina discussion, nikiwa home ni lazima tuangalie.
Kwa kweli hapo ameshinda...Amekuzidi ujanja😀😀
Mke nae ana haki ya kuangalia anachopenda
Sio kutofautiana mkuu bali tumebaki wachache kama sio kuishaMkuu....
Hivi hili nalo la kuanzisha thread kweli...[emoji848][emoji848]
Amakweli wanaume tunatofautiana sana....[emoji23][emoji23][emoji23]
Ni makosa makubwa na niudhaifu kwa mwanaume/baba kunyang'anyana remote na mke/watotoNipe ushauri nifunge uzi mkuu...Mimi imenifika shingoni.
Elimu hii nimeshafika lakini imeshindikana...yaani,kutumia nguvu sio poa.
Utakjwa ubaguzi huo.. TV zote aziweke pamoja na itakiwa kipimo cha macho na uvumilivu yakinifu.Mie naona rahisi ni hiyo
Mmoja atakuwa mfano anaangalia tamthilia bedroom,mwingine habari sitting room
Shida hapo mmeoana badala ya wewe kuoa! Wanaume siku hizi mbona tumepungua hivi!?Kwa kweli Sijui niwalaumu hawa wamiliki wa Tv stations au sijui nifanyeje! Ninapokuwa home vita ni kali sana mpaka tunanuniana...Kwa Akili ya remote. Wife yeye hachoki kuangalia Tamthilia mimi nataka Taarifa ya Habari,mbaya zaidi muda wa kipindi ni mmoja! Halafu nimegundua wanaongalia Tamthilia nao Akili zao km sisi washabiki wa mpira hawataki kuhadithiwa yaani ni Hatari.
Inasikitisha sana....[emoji23][emoji23][emoji23]Sio kutofautiana mkuu bali tumebaki wachache kama sio kuisha
Taarifa ya habari ni undisputed, hata kama siangalii, muda ukifika weka taarifa waliopo waangalie.
Hilo unatakiwa uliweke toka siku ya kwanza mnaanza kukaa pamoja au siku ya kwanza mnanunua TV.
Halina ubishi hili.
Kwani humu kunatakiwa thread za aina gani,za wanaume? Lakini mbona watu wananipa ushauri tuu fresh...Nyie wengine mngekuwa mods. Humu mngebaki wenyewe tu kwa uchaguzi wenu!Sio kutofautiana mkuu bali tumebaki wachache kama sio kuisha
TV zote aziweke pamoja na itakiwa kipimo cha macho na uvumilivu yakinifu.
Mleta mada kaongelea yeye na mke,suala la muda wa habari kufika iwekwe channel yenye habari hata kama waliopo hawataki kuangalia hilo halipo....sio lazima
Kugombania remote na mkeo, haitofautiani na kugombania dressing table....[emoji23][emoji23]Nipe ushauri nifunge uzi mkuu...Mimi imenifika shingoni.
Hamna brooo usimind. Lakini hili ni jambo dogo sana kama mwana mume kuli solve. Kakini pia unategemea na mtu na mtuKwani humu kunatakiwa thread za aina gani,za wanaume? Lakini mbona watu wananipa ushauri tuu fresh...Nyie wengine mngekuwa mods. Humu mngebaki wenyewe tu kwa uchaguzi wenu!