Msaada: Hii vita mimi na Wife

Msaada: Hii vita mimi na Wife

Ndio shida ya mwanaume kuwahi kurudi nyumbani hiyo, leo mnagombania remote kesho mtaanza kugombana wenyewe.

Karibu counter mkuu.






Let's meet at the top, cheers 🥂

😆😆😆 Shenzy type..lol...mie news it's a must. Kwangu Naona nyumba nzima ni wapenzi wa kandanda...bas nisiyependa najinyanyua kwenda kulala...!
*Wajumbe sio watu*
 
😆😆😆 Shenzy type..lol...mie news it's a must. Kwangu Naona nyumba nzima ni wapenzi wa kandanda...bas nisiyependa najinyanyua kwenda kulala...!
*Wajumbe sio watu*
Aisee nina muda mrefu sana sijaangalia taarifa ya habari home, mara nyingi huwa inanikutia pale counter alafu huwa naangalia kibubu bubu tu maana kuna kuwa na mziki kutoka kwenye radio......btw taarifa za habari now days mpaka inafika jioni tayari habari zote unazo, kuanzia JF, Twitter mpaka Fb zimerahisisha sana kupata habari siku hizi.







Let's meet at the top, cheers 🥂
 
Mkuu, kwanza mimi sijjui hata kubadilisha channel za TV.
Pili muda wangu wa kuangalia habari, ni muda ambao wife na watoto wanaenda kulala na nikimaliza kuangalia habari, nazima tu switch ya ukutani and done

Hii kali...huangalii news na mkeo?..means unaogopeka hapo home🤭! Mie ikiwekwa tbc nazimaga mainswitch lakini news hata watoto lazima wachek
 
Aisee nina muda mrefu sana sijaangalia taarifa ya habari home, mara nyingi huwa inanikutia pale counter alafu huwa naangalia kibubu bubu tu maana kuna kuwa na mziki kutoka kwenye radio......btw taarifa za habari now days mpaka inafika jioni tayari habari zote unazo, kuanzia JF, Twitter mpaka Fb zimerahisisha sana kupata habari siku hizi.







Let's meet at the top, cheers 🥂

Hako katabia sio kazuri mjue...!kakushinda bar. .labda uwe hujaoa.
 
Kwa kweli Sijui niwalaumu hawa wamiliki wa Tv stations au sijui nifanyeje! Ninapokuwa home vita ni kali sana mpaka tunanuniana...Kwa Akili ya remote. Wife yeye hachoki kuangalia Tamthilia mimi nataka Taarifa ya Habari,mbaya zaidi muda wa kipindi ni mmoja! Halafu nimegundua wanaongalia Tamthilia nao Akili zao km sisi washabiki wa mpira hawataki kuhadithiwa yaani ni Hatari.
Sasa unashindwa kutoa ka milion 2.5/3 kununua ka tv kako wewe kuchek mpira?Wacha kupigizana kelele na wife,muache aangalie tamthilia.
 
Haha 😅, a free soul! Na tunachelewa kuoa kwa sababu kama hizo za kugombaniana remote....kuna lifestyle ukizoea una maisha safi kabisa.





Let's meet at the top, cheers 🥂

Ila kuwa single ni Raha sana..na kama una hela sio za mawazo!
Huu upande wa pili ni kuja kwa makini..🤭!mfano mie maza akija home akimkuta msukuma wangu amevaa kaptura anaona dhambiii.....yaan anaona Kama yuko naked...
Haya na sisi wakija mashemeji muda wote mume anakukata jicho umevaaje🤭🤸🤸🙌!
Single life liheshimiwe aisee
 
Mkeo anapenda ligi tu na kwa namna yake hakuheshimu,kwangu mida ya taarifa ya habari ni habari hakuna mjadala na nyakati za mpira Mr anatujuza mapema basi tunatii!Remote always inakaa mezani utaratibu wa kutembea na remote ni marufuku


Hahhaaha....kila nyumba Ina ratiba zake aisee...mie nakimbiliaga kizima tv km habari ni za ccm..maana mwenzangu ccm kindaki ndaki...sipend wanangu waone habari za ccm bas nazima nawasha! Na yeye hivyo hivyo akiona za chadema anazima anaficha kbs remote🙌🤭🤸! Dah maisha hayaa
 
Ila kuwa single ni Raha sana..na kama una hela sio za mawazo!
Huu upande wa pili ni kuja kwa makini..🤭!mfano mie maza akija home akimkuta msukuma wangu amevaa kaptura anaona dhambiii.....yaan anaona Kama yuko naked...
Haya na sisi wakija mashemeji muda wote mume anakukata jicho umevaaje🤭🤸🤸🙌!
Single life liheshimiwe aisee
😂😂 Aiseee!

Sure, inataka moyo, lakini muda unafika unakuwa huna jinsi inabidi uingie tu....





Let's meet at the top, cheers 🥂
 
Hahhaaha....kila nyumba Ina ratiba zake aisee...mie nakimbiliaga kizima tv km habari ni za ccm..maana mwenzangu ccm kindaki ndaki...sipend wanangu waone habari za ccm bas nazima nawasha! Na yeye hivyo hivyo akiona za chadema anazima anaficha kbs remote🙌🤭🤸! Dah maisha hayaa
😅Hiyo vita ya CCM vs CDM humo ndani mbona hatari, kumbe kelele zote humu kumbe kiboko yako yupo nyumbani mkuu 😅






Let's meet at the top, cheers 🥂
 
😅Hiyo vita ya CCM vs CDM humo ndani mbona hatari, kumbe kelele zote humu kumbe kiboko yako yupo nyumbani mkuu 😅






Let's meet at the top, cheers 🥂


Yaani hapa utacheka ufe...analetaga mibendera ya ccm naiwashia Moto hukoo...anafanya kusudi had kichefuchefu...alowahi simika bendera nje😆😆! Nikaazima ngaz kbs...dah siipend ccm kbs kbs!
 
Back
Top Bottom