Unless nimehamia kwa mke wangu, au mimi ni baba wa nyumbani.
Otherwise hilo halina discussion na halitakiwi kuwa na discussion.
Hahahahaaa! Nashukuru kwa mchango wako,sio mbaya na wewe umetoa kilicho macho.Kugombania remote na mkeo, haitofautiani na kugombania dressing table....[emoji23][emoji23]
Hebu ni-PM namba za mkeo nimweleweshe namna ya kuishi na mwanaume wa dar, usitujazie servers zetu za JF kwa threads za hiziKwa kweli Sijui niwalaumu hawa wamiliki wa Tv stations au sijui nifanyeje! Ninapokuwa home vita ni kali sana mpaka tunanuniana...Kwa Akili ya remote. Wife yeye hachoki kuangalia Tamthilia mimi nataka Taarifa ya Habari,mbaya zaidi muda wa kipindi ni mmoja! Halafu nimegundua wanaongalia Tamthilia nao Akili zao km sisi washabiki wa mpira hawataki kuhadithiwa yaani ni Hatari.
Vyote..Wee jamaa bhana, yaani mwanaume unakuja kulalamika kugombania remote na mkeo halafu unaita ni vita. Kilichoisha madukani ni nini, TV au remote?
hasa wa dar na mkoani[emoji40][emoji40][emoji40]Mkuu....
Hivi hili nalo la kuanzisha thread kweli...[emoji848][emoji848]
Amakweli wanaume tunatofautiana sana....[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3][emoji3]umenifurahisha ,ila kuwa makini watoto watakusahau ujue.Mwanaume unawahije nyumbani kabla familia haijalala? Hakuna bar jirani?
Mkuu, kwanza mimi sijjui hata kubadilisha channel za TV.Hahahahaaa! Nashukuru kwa mchango wako,sio mbaya na wewe umetoa kilicho macho.
Ushauri mzuri huu labda hapo kwenye mars atanielewa ntajaribu.Kwani taarifa ya habari mbona haichukui mda mrefu hivo, angalieni wote taarifa, then wekeni tamthiliya mbona simple tu.
Mwambie wife ni muhimu kucheki taarifa ya habari, ili mpate matukio ya siku na mjue nini kinaendelea nchini, isije likatolewa tangazo mnatakiwa kuhamia sayari nyingine Mars huko msijue mkabaki wenyewe kwa hii Earth [emoji3]
Well said. Inashangaza kuona mada ndofo ndogo kama hozi zinajadiliwa. Tumedilisika agenda kabisaMkuu....
Hivi hili nalo la kuanzisha thread kweli...[emoji848][emoji848]
Amakweli wanaume tunatofautiana sana....[emoji23][emoji23][emoji23]
Watu walitegemea kutakuwa na vita km ile ya kongo,Sasa imekuwa imekuwa tofauti yamebaki mapovu hapa!
Ndo maana tunawashauri muwe mnakunywa pombe,
Ungekuwa unakunywa serengeti lite ungemuaga mkeo kuwa unaenda kuangalia taatifa ya habari kwenye grocery iliyo jirani.
Nna hakika mkeo angehakikisha hiyo taarifa ya habari unaangalizia nyumbani tena kwa yeye kukumbuka na kuweka channel haraka sana kila muda unapowadia.
Hahaha.....sijajua umri wako ila kadri utakavyokua utakuja kugundua mwanamke anamiliki kila kitu hapo ndani, sasa kama kaamua kuangalia tamthilia inabidi uwe mpole au ujiongeze kwa namna nyingine. Mimi ninayo TV ndogo ya nchi 32, sijaitumia kwa zaidi ya miaka 3 baada ya kununua TV kubwa, nina mpango wa kununua king'amuzi cha azam niifunge chumbani, yaani chumbani kuwe na TV na sebuleni kuwe na TV. Mambo mengine unamaliza kikubwa wala huhitaji kuja kulialia huku..Vyote..
Na sikulibisha
Nafikiri mleta mada atachagua lipi litamfaa....kama ni kununua TV nyingine ama kufuata mnayomwambia wengine