Sasa bro wala usiyumbe,nunua tv nyingine weka room,ili kila mmoja apate anachotaka,kumbuka mkeo ni ubavu wako,ni haki yake kufurahia maisha na wewe piaKwa kweli Sijui niwalaumu hawa wamiliki wa Tv stations au sijui nifanyeje! Ninapokuwa home vita ni kali sana mpaka tunanuniana...Kwa Akili ya remote. Wife yeye hachoki kuangalia Tamthilia mimi nataka Taarifa ya Habari,mbaya zaidi muda wa kipindi ni mmoja! Halafu nimegundua wanaongalia Tamthilia nao Akili zao km sisi washabiki wa mpira hawataki kuhadithiwa yaani ni Hatari.
[emoji28][emoji28] Kugombania mapaja?Mwanaume anakaaje nyumbani kugombania rimoti na watoto wakiwa na mama yao.Mwanaume hatakiwi hata kula chakula cha nyumbani kwake.Akale anaposhinda!Ataanza kugombania mapaja ya kuku na watoto mwishowe.Mwanaume ni kujipa mateso.(Tumia akili yako)[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kunua tv nyingine ni uharibifu wa pesa mkuu, minakushauri fukuza huyo mwanamke ambae hakufundishwa adabu...[emoji41][emoji41][emoji41]Nashukuru kwa Ushauri wenu! Wiki Ijayo kununua nyingine naweka bedroom,Mods naomba nihamishie uzi kule Chit- Chat....
Shida iko kwa rimoti[emoji23][emoji23][emoji23]Tamthilia zina marudio
Sio Sawa na mpira..
Habari zipo Kwa simu..
Hata tamthilia zipo Kwa simu
Shida iko wapi?
Mjomba unatunagusha wanaume...Kwa kweli Sijui niwalaumu hawa wamiliki wa Tv stations au sijui nifanyeje! Ninapokuwa home vita ni kali sana mpaka tunanuniana...Kwa Akili ya remote. Wife yeye hachoki kuangalia Tamthilia mimi nataka Taarifa ya Habari,mbaya zaidi muda wa kipindi ni mmoja! Halafu nimegundua wanaongalia Tamthilia nao Akili zao km sisi washabiki wa mpira hawataki kuhadithiwa yaani ni Hatari.
Upo sahihi mkuu.Watoto ndiyo wanapaswa kupata lishe iliyo Bora zaidi ya watu wazima.Afterall,watu wazima wameshakula vizuri tangu wakiwa wadogo.Firigisi,maini,mapaja na nyama zote nzurinzuri wapewe watoto.Wakubwa wale miguu,shingo,vichwa na vipapatio.Viva watoto...Viva!πππππ[emoji28][emoji28] Kugombania mapaja?
Huwa nachekaga sana familia zingine baba anawekewa mapaja watoto wanapewa shingo au tupapatio havina nyama.
Baba bora ni yule anayehakikisha watoto wake wanakula vinono.
Mkuu nunua katv kadogo funga chumbani basi yyte kati yenu atumieKwa kweli Sijui niwalaumu hawa wamiliki wa Tv stations au sijui nifanyeje! Ninapokuwa home vita ni kali sana mpaka tunanuniana...Kwa Akili ya remote. Wife yeye hachoki kuangalia Tamthilia mimi nataka Taarifa ya Habari,mbaya zaidi muda wa kipindi ni mmoja! Halafu nimegundua wanaongalia Tamthilia nao Akili zao km sisi washabiki wa mpira hawataki kuhadithiwa yaani ni Hatari.
Ndio wanaume waliopo kwa wakati uliopo!!Mkuu....
Hivi hili nalo la kuanzisha thread kweli...[emoji848][emoji848]
Amakweli wanaume tunatofautiana sana....[emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio wanaume waliopo kwa wakati uliopo!! Hana usemi kwa mkewe kilichobakia ni kukimbilia JF!Mkuu....
Hivi hili nalo la kuanzisha thread kweli...[emoji848][emoji848]
Amakweli wanaume tunatofautiana sana....[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa kweli Sijui niwalaumu hawa wamiliki wa Tv stations au sijui nifanyeje! Ninapokuwa home vita ni kali sana mpaka tunanuniana...Kwa Akili ya remote. Wife yeye hachoki kuangalia Tamthilia mimi nataka Taarifa ya Habari,mbaya zaidi muda wa kipindi ni mmoja! Halafu nimegundua wanaongalia Tamthilia nao Akili zao km sisi washabiki wa mpira hawataki kuhadithiwa yaani ni Hatari.
Mkuu nunua katv kadogo
Mkuu nunua katv kadogo funga chumbani basi yyte kati yenu atumie
Hii nimeipenda,tutakuwa tunapishana kwenye corridor tuu.
Kweli kabisa,umenisaidia kumpa jibu Mubshara!Ndio wanaume waliopo kwa wakati uliopo!! Hana usemi kwa mkewe kilichobakia ni kukimbilia JF!
Ahsante...Ila si atatoa pesa za nyanya tuanze kula masalo.Kama vp usilipie kingamuzi ili zibakie local upate kutizama taarif ya habari
Hii hapana...Na wao wakioa mapaja yao atakula nani?Upo sahihi mkuu.Watoto ndiyo wanapaswa kupata lishe iliyo Bora zaidi ya watu wazima.Afterall,watu wazima wameshakula vizuri tangu wakiwa wadogo.Firigisi,maini,mapaja na nyama zote nzurinzuri wapewe watoto.Wakubwa wale miguu,shingo,vichwa na vipapatio.Viva watoto...Viva!πππππ
Safi bro. Nashukuru kwa Ushauri maana kuna singles humu mchango yao sielewi kabisa,wao wanaishi na vimada wanachangia wanandoa.Sasa bro wala usiyumbe,nunua tv nyingine weka room,ili kila mmoja apate anachotaka,kumbuka mkeo ni ubavu wako,ni haki yake kufurahia maisha na wewe pia