miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
ha haa wachekeshe na weweNiko ukweni na baba mkwe wangu, nimejikuta nacheka kwa sauti kubwa mpaka kauliza mkwe wacheka nn [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
usibane mguu utasababisha damu isirudi moyoniYaaan nikikunja au kubana miguu kosa linaumuka kama nini yan
Haya mkubwa umesikika, kama ni mambo ya kitoto mbana ww mkubwa umeyaingilia au ndio kubwa jinga wenyewe ama team wehu..Labda uniambie una ub00 mdogo mnoooo. Urefu uwe kidole kidogo cha mwisho cha Mwala na upana kijiko kikubwa cha chai.
Hapo ndiyo utaubana na hautakusumbua.
Komedi zako wapelekee watoto.
Tembea na kirungu ukiona inaleta mambo za kudisha unajitandika kwenye kifundo cha mguu wowote maumivu yakee cdhan Kama kitatingishikaa hata upapaswe
Ama kweli wewe ni tatizo, kwahiyo ukiwa unadanganya watu unataka uachwe tu?Haya mkubwa umesikika, kama ni mambo ya kitoto mbana ww mkubwa umeyaingilia au ndio kubwa jinga wenyewe ama team wehu..
me nakusaidia si unajua hata mwanaume ukimminya korodani anakufa anagalia damu isijekugoma kupandaMmmmhuuu ww binti mbona unanichekesha duuuuh
Mkuu Pole sana...daaah jaribu kutoruhusu akili kuwa controled na uume huwa ni hatari sana.! Cha muhimu ni kufanya mazoezi mno na kuwa na control ya kutowaza 'niaje vipi' ukiwa karibu na manziHabari zenu wana JF,
Husika na kichwa cha habari.
>>Nimekua nina hari flani inanitokea sijui ni ubovu au ni uzima, yaani nikiongea hata kama sio masuala ya mapenzi au kushikana mkono na msichana dushe (p€n¡$) inasimama sana na kuanza kupata hamu ya kufanya sex.
Hari hii imekua inanitesa sana, nashindwa kua comfortable coz inasimama hadi inabidi dushe nilibane na mkanda kwa juu, au kama nimekaa naanza kukunja kunja miguu.
Naombeni mnisaidie ushauri wenu kama ni ugonjwa nifanyaje au kama ni uzima nifanyeje ili kujiepusha na hilo tatizo.
>>> Pia hata kama nikifanya sexual saa nzima up to the maximum satisfactive ikipita hata dakika kumi nakua nahamu ya kurudia tena, In short hamu hainiishi. Je nahuu niugonjwa au ni uimara
Ahsanteni.
Ray modray jr
miss chagga unaonekana mtaalamu wa madushe mpaka basiusibane mguu utasababisha damu isirudi moyoni
ha hhahaha kidogomiss chagga unaonekana mtaalamu wa madushe mpaka basi
Hii balaa aisee[emoji23] [emoji23]Tembea na kirungu ukiona inaleta mambo za kudisha unajitandika kwenye kifundo cha mguu wowote maumivu yakee cdhan Kama kitatingishikaa hata upapaswe