Msaada: Hivi huu ni ubovu au ni uzima wa kiungo changu?

Msaada: Hivi huu ni ubovu au ni uzima wa kiungo changu?

Niko ukweni na baba mkwe wangu, nimejikuta nacheka kwa sauti kubwa mpaka kauliza mkwe wacheka nn [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
ha haa wachekeshe na wewe
 
Labda uniambie una ub00 mdogo mnoooo. Urefu uwe kidole kidogo cha mwisho cha Mwala na upana kijiko kikubwa cha chai.

Hapo ndiyo utaubana na hautakusumbua.

Komedi zako wapelekee watoto.
Haya mkubwa umesikika, kama ni mambo ya kitoto mbana ww mkubwa umeyaingilia au ndio kubwa jinga wenyewe ama team wehu..
 
Tembea na kirungu ukiona inaleta mambo za kudisha unajitandika kwenye kifundo cha mguu wowote maumivu yakee cdhan Kama kitatingishikaa hata upapaswe

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Haya mkubwa umesikika, kama ni mambo ya kitoto mbana ww mkubwa umeyaingilia au ndio kubwa jinga wenyewe ama team wehu..
Ama kweli wewe ni tatizo, kwahiyo ukiwa unadanganya watu unataka uachwe tu?

Peleka komedi zako kwa watoto.
 
bado huna majukumu, ukipata majukum mawazo ya kipuuzi mda wote adi dushee inasimama yatakutoka.
 
Habari zenu wana JF,

Husika na kichwa cha habari.

>>Nimekua nina hari flani inanitokea sijui ni ubovu au ni uzima, yaani nikiongea hata kama sio masuala ya mapenzi au kushikana mkono na msichana dushe (p€n¡$) inasimama sana na kuanza kupata hamu ya kufanya sex.

Hari hii imekua inanitesa sana, nashindwa kua comfortable coz inasimama hadi inabidi dushe nilibane na mkanda kwa juu, au kama nimekaa naanza kukunja kunja miguu.

Naombeni mnisaidie ushauri wenu kama ni ugonjwa nifanyaje au kama ni uzima nifanyeje ili kujiepusha na hilo tatizo.
>>> Pia hata kama nikifanya sexual saa nzima up to the maximum satisfactive ikipita hata dakika kumi nakua nahamu ya kurudia tena, In short hamu hainiishi. Je nahuu niugonjwa au ni uimara
Ahsanteni.
Ray modray jr
Mkuu Pole sana...daaah jaribu kutoruhusu akili kuwa controled na uume huwa ni hatari sana.! Cha muhimu ni kufanya mazoezi mno na kuwa na control ya kutowaza 'niaje vipi' ukiwa karibu na manzi
 
Pole mkuu mwone daktar.......

ILA UNGEKUA MWALIMU NA UNAFUNDISHA SHULE ZA WASICHANA SIJUI INGEKUWEJE MKUU... KWA HIYO WW UNGEKUA NI KUSIMAMISHA DUSHELE MWANZO MWISHO UWAPO KAZINI
 
Ni umri upo kwenye kilele,just continue to play with your mmborro🙂
 
Una kijela a.k.a Upwiru a.k.a Ukakasi a.k.a tamaa za kuku...
 
Back
Top Bottom