Msaada: Hivi vidonge sio ARV?

Msaada: Hivi vidonge sio ARV?

Both of you nakubaliana nanyi, Kabissa binafsi kuna jambo nilimkosea mke wangu na ilimsukuma kuchepuka pengine kwa sababu ya hasira, nilikuja kugundua badae alichokifanya. As gentleman nilimsamehe na Maisha yaliendelea.
kuna makosa mengine pale unapogundua ww ndio chanzo.na Kama mtu unampenda huna budi kumsamehe.hongera mkuu sio wote wanaweza Fanya hivi.
 
nimetumia zaidi ya dakika 90 kusoma huu uzi!!, regardless mleta mada katunga au kweli, huu uzi umenifunza mengi sanaaaaa na umenifanya nigundue vitu ambavyo kiukweli ilikuwa vigumu kupata jibu:

1: kuhusu ARV nilikuwa navisikia ila sikuwahi kuviona machoni, ila kuna ndugu yangu (mjomba) tulikutana kwenye msiba yule yamaa alikuwa na vidonge ving sana kama hcho hcho hadi rangi. na alikuwa anameza maranyingi sana sasa leo nimepata jibu.

2: kuhusu hiyo PEP sijui, hilo ndo nalisikia leo, na wenye kufahamu naomba mnijuze hyo huduma ya ndani ya masaa 72 inatolewa kila hospital au hospital kubwa tu kwa Tanzania? na ni kidonge au ni nin!?

3: nimejifunza kitu kikubwa sanaaa. Yaani nimejikuta namshukuru Mungu kwa kuniepusha salama kwenye michezo yote ambayo nabaniwa, na mim huwa naforce sanaaa ila kuna sehemu kama mbili hv niligonga mwamba, sito sahau kuna mmoja alikuja kwangu nilimkazania alale ila kufikia saa sita usiku baada ya kumforce sana anakataa hadi analia alipanda bodaboda akarudi kwake, sikujua kwa nin!? ila nilivyosoma huu uzi nimesema asante baba,

na mwingine huyo huu ni mwezi wa tatu sasa ananipiga calendar tuu na siyo kawaida, yaani huwa tunafanya vingi ila ikifika swala la sexy anakataa, all in all nasema asante sanaa sitomsumbua tenaaaa na nakiri kuacha huu ujinga utanigharim maisha yangu.

asante sana mleta mada, asanteni wachangiaji wote nimejifunza mengi sana.

*leo nimeanza kukumbuka miaka ya 2003 jinsi nilivyokuwa naogopa ukimwi*
Mkuu mm kuna mmoja nilipiga sanaa ila alikuwa hataki bila ndom, sasa nikajifanya mjanja nikachomoa ndom katikati ya gem, alivojua alinisukuma, sikuona ndani tena sikujua kwann nikafikiri labda alikuwa anaogopa mimba, kumbe alikuwa nao na alijijua.. ni marehem kwa sasa hiyo ilikuwa 2006.. alikufa 2009, mm kupima ilikuwa mziki.. siku ya kwanza nikaenda magomen zahanat pale nikaishia getini nikarud. Mara ya pili niaenda Amref nikasema potelea mbali. Nikapima.. kuanzia hapo hakuna demu nagegeda bila kupima..
 
Ebu muulize kwanza huyo aliyeweka hapo ulipovikuta Mkuu pengine anajua asikimbilie kuwa na wasiwasi pengine ni za kawaida tofauti na unavyofikilia au la nenda uliza hospital ya jirani ili kupata uhakika zaidi.
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] we noma sana. Kwaiyo sisi wazee CHAPUTA tuendelee tu nakamchezo ketu?
Ahaaa kumbe mpo wengi[emoji36] ebwana hivi mwenyekiti wenu ni nani humu ?
Hii yote ni kwa hisani ya ARV
 
Mawee kumbe ngoma bado ipo,ila ndo shida ya kutembea na mtu usiyemjua background yake alafu vijana wameingia ujasiri wa kula kavu kavu skuiz, mtu hata bima ya afya hana alafu anajitia ushujaa
 
Hvyo..vipo vya rangi kibao...yupo mmoja nilikutana nae baada ya kumgegeda akasema kasahau kumeza...nusu nizimie..nikakumbuka nilivaa....
 
Mkuu mm kuna mmoja nilipiga sanaa ila alikuwa hataki bila ndom, sasa nikajifanya mjanja nikachomoa ndom katikati ya gem, alivojua alinisukuma, sikuona ndani tena sikujua kwann nikafikiri labda alikuwa anaogopa mimba, kumbe alikuwa nao na alijijua.. ni marehem kwa sasa hiyo ilikuwa 2006.. alikufa 2009, mm kupima ilikuwa mziki.. siku ya kwanza nikaenda magomen zahanat pale nikaishia getini nikarud. Mara ya pili niaenda Amref nikasema potelea mbali. Nikapima.. kuanzia hapo hakuna demu nagegeda bila kupima..
aisee kupima hiyo ni habari nyingine mkuu sijawahi pata huo moyo!, na siku nikija pima ntakuwa na mim napima kila mwezi
 
Huu uzi umenikumbusha mbalii!!! Kiuna siku niko na bae... Tumemaliza mechi nikanyanyuka na kwenda kabatini nikameza kidonge kimoja cha cipro... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkaka wa watu aliruka toka kitandani kama ndama, jasho lilimtoka akaja nipana mkono nimuoneshe nimemeza dawa gani, ata nilivomwambia hakuniamini mpaka akajionea mwenyewe !!! [emoji23][emoji23][emoji23]
hahahahaha, u killed it
 
kuna makosa mengine pale unapogundua ww ndio chanzo.na Kama mtu unampenda huna budi kumsamehe.hongera mkuu sio wote wanaweza Fanya hivi.
Super women 2 Ahsante, nikweli tulikoseana lakini kwa sehemu nilibaini kuwa nami nilikuwa chanzo kwa kilichotokea. Sikuona sababu ya kumsamehe wife kwa kilichotokea. Naamini yeye au Mimi Hakuna aliye malaika. Maisha yaliendelea.
 
Nimeanza na Uzi huu Jana na Leo nakomaa nao tu.
Wengine mipango umeharibika kabisa
 
Hivyo mtu anaetumia vidonge vya ARV hawez kumuambukiza mtu napenda kujua hili somo
Ni kweli chances za kutoambukizwa ni 99% kama huyo mtu yuko kwenye undetectable status. Hii status inafikiwa pale mwathirika anapotumia ARV na kumaliza wadudu wanaozunguka kwenye damu na akawa anaendelea kutumia dawa.
 
Back
Top Bottom