Msaada: Huyu dada anataka nini?

Msaada: Huyu dada anataka nini?

Mwanaume mpumbavu weeee!!!!
Unauliza anataka nini wakati ANAOMBA HELA!!!!
 
Habarini jamani,

Kuna binti niliwahi kuwa katika mahusiano nae miaka ya nyuma kipindi tupo secondary lakini mahusiano yetu yalivunjika mara baada ya sote kujiunga na chuo

Kwa sasa ni mke wa mtu na siku moja alinipigia na kunipa habari kwamba kwa sasa ameolewa hakuwa na namba yangu lakini nilikuja kugundua aliipata kwa rafiki yake ambae bado nilikuwa nawasiliana naye.

Sasa shida ni kwamba ananitafuta mara kwa mara anapenda sana Ile Hali ya kuongea na Mimi Kwa muda mrefu kitu ambacho nilishamwambia me nsha move on Ila hasikii anapiga kila wakati nilimdanganya kwamba nimeshaoa pia ili apunguze but haisaidii inafikia mpaka ananiomba pesa je huyu binti anataka nini?

Anataka urafiki, bado ananipenda au anataka aniangushe tena Kwa mara ya pili?
Dodoma kuna daladala limeandikwa NKUHUNGU kubwa kuliko DODOMA.
Alifikiria nini aliyeandika hatujui na kama tunajua hatuwezi kuwa na majibu yanayofanana na yake.
 
Wewe mwenyewe bado unampenda huyo Mwanamke, Kumbuka ameshakuwa mke wa mtu vunja mazoea na mawasiliano. La sivyo kitakacho kutokea usisahau kutupa mrejesho
 
Habarini jamani,

Kuna binti niliwahi kuwa katika mahusiano nae miaka ya nyuma kipindi tupo secondary lakini mahusiano yetu yalivunjika mara baada ya sote kujiunga na chuo

Kwa sasa ni mke wa mtu na siku moja alinipigia na kunipa habari kwamba kwa sasa ameolewa hakuwa na namba yangu lakini nilikuja kugundua aliipata kwa rafiki yake ambae bado nilikuwa nawasiliana naye.

Sasa shida ni kwamba ananitafuta mara kwa mara anapenda sana Ile Hali ya kuongea na Mimi Kwa muda mrefu kitu ambacho nilishamwambia me nsha move on Ila hasikii anapiga kila wakati nilimdanganya kwamba nimeshaoa pia ili apunguze but haisaidii inafikia mpaka ananiomba pesa je huyu binti anataka nini?

Anataka urafiki, bado ananipenda au anataka aniangushe tena Kwa mara ya pili?

"............inafikia mpaka ananiomba pesa................"
 
Skia mdogo wangu
Sisi tuko pamoja na wewe kwenye unachofikiria piga tu huo mzigo wala hatuna ushauri mwingine!! Ila tumia akili jikinge kiafya na ambush
Mana kama ungekua hujashawishika ungekua ushamblock huu uzi usingekuwepo.
 
Habarini jamani,

Kuna binti niliwahi kuwa katika mahusiano nae miaka ya nyuma kipindi tupo secondary lakini mahusiano yetu yalivunjika mara baada ya sote kujiunga na chuo

Kwa sasa ni mke wa mtu na siku moja alinipigia na kunipa habari kwamba kwa sasa ameolewa hakuwa na namba yangu lakini nilikuja kugundua aliipata kwa rafiki yake ambae bado nilikuwa nawasiliana naye.

Sasa shida ni kwamba ananitafuta mara kwa mara anapenda sana Ile Hali ya kuongea na Mimi Kwa muda mrefu kitu ambacho nilishamwambia me nsha move on Ila hasikii anapiga kila wakati nilimdanganya kwamba nimeshaoa pia ili apunguze but haisaidii inafikia mpaka ananiomba pesa je huyu binti anataka nini?

Anataka urafiki, bado ananipenda au anataka aniangushe tena Kwa mara ya pili?
Simu yako haina uwezo wa kublock?
 
Habarini jamani,

Kuna binti niliwahi kuwa katika mahusiano nae miaka ya nyuma kipindi tupo secondary lakini mahusiano yetu yalivunjika mara baada ya sote kujiunga na chuo

Kwa sasa ni mke wa mtu na siku moja alinipigia na kunipa habari kwamba kwa sasa ameolewa hakuwa na namba yangu lakini nilikuja kugundua aliipata kwa rafiki yake ambae bado nilikuwa nawasiliana naye.

Sasa shida ni kwamba ananitafuta mara kwa mara anapenda sana Ile Hali ya kuongea na Mimi Kwa muda mrefu kitu ambacho nilishamwambia me nsha move on Ila hasikii anapiga kila wakati nilimdanganya kwamba nimeshaoa pia ili apunguze but haisaidii inafikia mpaka ananiomba pesa je huyu binti anataka nini?

Anataka urafiki, bado ananipenda au anataka aniangushe tena Kwa mara ya pili?
Same story bro hawa viumbe ni problematic
 
Back
Top Bottom