cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Umrii huu hujuu nn ufanye kupitia scenario hii? Bas kazi ipoo.26yrs
Poleee mwayaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umrii huu hujuu nn ufanye kupitia scenario hii? Bas kazi ipoo.26yrs
This account has been hacked fo some hrs.Bora umejiwahi hata mimi nilisema muhuni gani leo umempa simu
Tamaa mbayaa
mbona ni mtu mzima lakini una Act mama mtoto26yrs
Hapana mi ni mwenyeji wa Kigoma NduguMkuu bila shaka wewe ni mwenyeji wa Tanga sivyo?
Ohoo basi sawa unajua kwa nini nilikuuliza hivyo?Hapana mi ni mwenyeji wa Kigoma Ndugu
Dodoma kuna daladala limeandikwa NKUHUNGU kubwa kuliko DODOMA.Habarini jamani,
Kuna binti niliwahi kuwa katika mahusiano nae miaka ya nyuma kipindi tupo secondary lakini mahusiano yetu yalivunjika mara baada ya sote kujiunga na chuo
Kwa sasa ni mke wa mtu na siku moja alinipigia na kunipa habari kwamba kwa sasa ameolewa hakuwa na namba yangu lakini nilikuja kugundua aliipata kwa rafiki yake ambae bado nilikuwa nawasiliana naye.
Sasa shida ni kwamba ananitafuta mara kwa mara anapenda sana Ile Hali ya kuongea na Mimi Kwa muda mrefu kitu ambacho nilishamwambia me nsha move on Ila hasikii anapiga kila wakati nilimdanganya kwamba nimeshaoa pia ili apunguze but haisaidii inafikia mpaka ananiomba pesa je huyu binti anataka nini?
Anataka urafiki, bado ananipenda au anataka aniangushe tena Kwa mara ya pili?
Habarini jamani,
Kuna binti niliwahi kuwa katika mahusiano nae miaka ya nyuma kipindi tupo secondary lakini mahusiano yetu yalivunjika mara baada ya sote kujiunga na chuo
Kwa sasa ni mke wa mtu na siku moja alinipigia na kunipa habari kwamba kwa sasa ameolewa hakuwa na namba yangu lakini nilikuja kugundua aliipata kwa rafiki yake ambae bado nilikuwa nawasiliana naye.
Sasa shida ni kwamba ananitafuta mara kwa mara anapenda sana Ile Hali ya kuongea na Mimi Kwa muda mrefu kitu ambacho nilishamwambia me nsha move on Ila hasikii anapiga kila wakati nilimdanganya kwamba nimeshaoa pia ili apunguze but haisaidii inafikia mpaka ananiomba pesa je huyu binti anataka nini?
Anataka urafiki, bado ananipenda au anataka aniangushe tena Kwa mara ya pili?
Simu yako haina uwezo wa kublock?Habarini jamani,
Kuna binti niliwahi kuwa katika mahusiano nae miaka ya nyuma kipindi tupo secondary lakini mahusiano yetu yalivunjika mara baada ya sote kujiunga na chuo
Kwa sasa ni mke wa mtu na siku moja alinipigia na kunipa habari kwamba kwa sasa ameolewa hakuwa na namba yangu lakini nilikuja kugundua aliipata kwa rafiki yake ambae bado nilikuwa nawasiliana naye.
Sasa shida ni kwamba ananitafuta mara kwa mara anapenda sana Ile Hali ya kuongea na Mimi Kwa muda mrefu kitu ambacho nilishamwambia me nsha move on Ila hasikii anapiga kila wakati nilimdanganya kwamba nimeshaoa pia ili apunguze but haisaidii inafikia mpaka ananiomba pesa je huyu binti anataka nini?
Anataka urafiki, bado ananipenda au anataka aniangushe tena Kwa mara ya pili?
Same story bro hawa viumbe ni problematicHabarini jamani,
Kuna binti niliwahi kuwa katika mahusiano nae miaka ya nyuma kipindi tupo secondary lakini mahusiano yetu yalivunjika mara baada ya sote kujiunga na chuo
Kwa sasa ni mke wa mtu na siku moja alinipigia na kunipa habari kwamba kwa sasa ameolewa hakuwa na namba yangu lakini nilikuja kugundua aliipata kwa rafiki yake ambae bado nilikuwa nawasiliana naye.
Sasa shida ni kwamba ananitafuta mara kwa mara anapenda sana Ile Hali ya kuongea na Mimi Kwa muda mrefu kitu ambacho nilishamwambia me nsha move on Ila hasikii anapiga kila wakati nilimdanganya kwamba nimeshaoa pia ili apunguze but haisaidii inafikia mpaka ananiomba pesa je huyu binti anataka nini?
Anataka urafiki, bado ananipenda au anataka aniangushe tena Kwa mara ya pili?
Sijajua ndugu..!!Ohoo basi sawa unajua kwa nini nilikuuliza hivyo?
Uko wapi?Jamani, pole mwaya.....
😹😹😹😹😹Uko wapi?