Msaada: Huyu ni nyoka wa aina gani?

Da'Vinci Sijapenda!!!!! Umenifanya nimetupa simu moyo unaenda mbioo
Bahati nzuri nipo kitandani simu haijaanguka chini....
Acha masihara tabia zingine upuuzi mtupu!
Ulisema hutofungua picha Nini kilikufanya uzifungue?
 
nashukuru sana mkuu, kumbe nimeua nyoka asie na madhara
 
jiandae ukoo wa huyo nyoka unakuja kwenye maomboleze ya mwenzao
 
Huyo atakuwa Black mamba wale wanajikunjaga wanaruka umbali mrefu kama sikosei ila pia huwa wanakimbiza adui yaani kumuua kama ni wale wakubwa inahitaji akili kubwa
umejuaje ni black mamba na ili hali hujaangalia ndani ha mdomo wake ??
 
huyo ni nyoka wa kawaida mara nyingi hupendelea kuishi karibu na makazi ya watu wanakula panya na wadudu wengine wakati mwingine mabaki ya chakula Hawana sumu kali akikung'ata unaweka hata sarafu ya 50 kwenye jeraha na unapona mapema tu
Na ni ngumu sana mpaka akuvamie labda umkanyage
Tunawaita home snake ni mweusi lakini ana kama ukijivu kwa mbali kwenye ngozi yake
Mkuu rudisha familia hao nyoka ni sehemu ya familia ungekuwa Arusha ningekupa mchongo wa kuwauza kwa jamaa mmoja hapa town..
 
Nyoka hahitaji kuchokozwa ili akuzuru, nyoka ameumbwa kuzuru, so ukimuona maeneo ya makaazi muwahi, umuue ukimkuta porini mdiyo umuache
 
Morogoro Kuna nyoka wengi Sana,tunapishanaga na vifaranga Hadi ndani,ni shida.uwatafute maliasili wakwambie dawa ya kuwavuta ili uwaone na kuwaua wote ni hatari
 
Tofauti ya mzungu na mswahili iko hapo. Mswahili akiona nyoka anauwa. Mzungu akiona nyoka anamkamata na kumpeleka mahala pake
 
Fuga paka na bata pia kwenye Nyumba yako nyoka na paka na Bata ni vitu viwili tofauti paka wapo active sana asa akigundua ilo eneo lina nyoka kila siku atakua anafanya kazi ya kuwinda nyoka usisahau kuchoma tairi la Gari oil mwaga chumvi ya mawe kwenye mashimo yote yanayozunguka nyumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…