Msaada interview za Jeshi la Magereza

Ndio .mimi nimetokea mtaani
Ila we jamaa ulivyopata kiukweli nimefurahi sana hii id yako naikumbuka mlikuwa mnalalamika wewe yule jamaa aliosomea afya na yule jamaa wa tanga mmekatwa saili mbalimbali mbanga nyingi ila zamu yako ikifika imefika tu umepambana sana

nilikuwa nakusoma huko juu coment za zamani ulivyokuwa ukiaga wenzako leo unaagwa wewe kilaheri huko uendako

Vijana mjifunze kutokata tamaa

Hivi mwenye huu uzi aliouanzisha naye aliondokaga
 
Afisa kumbe unaenda kiwira
 
mzabzab mwanawane wenzetu wanalamba mashavu huku.. Sie tuendelee kuna pumbuz tu
 
Asante mkuu .Na wewe utaondoka mkuu yaani lazima tupungue wote inshaallah [emoji120]

Hadi mda huu kila nikijitahidi kulala usingizi hakuna kabisa ..na kesho asubuhi na mapema nasepa Tukuyu mbeya
Karibu kwetu mkuu.....siku ukiiva unatoroka unakuja hapa tukuyu mjini ...nakutafutia pisi hapa...mabonde [emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…