Hata February tu,Sasa kama wakiachia December ina maana course watu wanenda January au..??
Hii Week haipiti
Hii wiki ikikata hawajatoa huo mkeka, ndugu ndo tungojee mpaka december, maana Kuna intake iliwahi kufanyika 14 december , ko nikijaribu kuconnect na kipindi hiki naona kabisa huu mkeka wa Sasa unanunikia December.
Jw ndo kuna wachawi wengi Bora huku.Lakini sio mbaya ili na jw wakitoa tuombe pia
Jw ndo kuna wachawi wengi Bora huku.
Vijana kaeni mkao wa kula na ondoeni hofu, kunyweni maji ya kutosha... hii week haiishi.
JW ni simple zaidi kupataNaskia kule sio poa ngumu kupata
Aah wapi , labda Kama una connection ,kule Wana complication
Dah Kila nikiona notifications za Uzi huu nakuja chap najua Kuna pdf [emoji1787][emoji1787]
Kila nkiingia kwa website ya Magereza .inaonyesha account ipo suspended cjui kuna utaratibu upo unaendelea asee .
Kwa nn Kaka unasema hivo?JW ni simple zaidi kupata
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] dah hadi hio PDF itoke tutakua tumekula lonja za kutoshaWeek hii itakua ya motto du
KESHO HUENDA IKAWA SIKU MUHIMU SANA KWETU TULIOOMBA MAGEREZA
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787] dah hadi hio PDF itoke tutakua tumekula lonja za kutosha