Msaada interview za Jeshi la Magereza

Cha muhim Jw atoe mwezi huu au December mwanzon maana wanaweza wakapiga aziwea wasitoe ukivuka mwaka huu

Magereza wamezingua sana bora wangefanya kama uhamiaji chap kwa haraka ili watu wajue moja insuch JW wakitoa atleast kiwingu cha watu kipungue
 
Magereza wamezingua sana bora wangefanya kama uhamiaji chap kwa haraka ili watu wajue moja insuch JW wakitoa atleast kiwingu cha watu kipungue
Hahahahah πŸ˜… haupendi ushindani ndg yanguπŸ˜„πŸ˜„....kiwingu kitakuwepo kuanzia wale waliokosa polisi kwahyo kupambana muhim mzee
 
Hahahahah [emoji28] haupendi ushindani ndg yangu[emoji1][emoji1]....kiwingu kitakuwepo kuanzia wale waliokosa polisi kwahyo kupambana muhim mzee

Ndio lakin haitokua sawa kama jw wakitoa nafasi wakat Magereza bado hawajamaliza........i.e nyomii yake itakua sio poa ko uwezekano wa kukosa nafasi jw utakua mkubwa kwa watu wengi
 
Ndio lakin haitokua sawa kama jw wakitoa nafasi wakat Magereza bado hawajamaliza........i.e nyomii yake itakua sio poa ko uwezekano wa kukosa nafasi jw utakua mkubwa kwa watu wengi
Unachosema ni sahihi...ila unafikiria utafanyaje na situation ipo Kama hivi sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…