MrGeneous
JF-Expert Member
- Oct 3, 2020
- 562
- 285
Magereza aise wamebaki nyuma kwa kweli..Mana uhamiaji wapo chap na wametoa majina ya kuingia kazini baada ya kozi Yao wanayoanza December Tanga
Magereza kwa hili wamefeli...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magereza aise wamebaki nyuma kwa kweli..Mana uhamiaji wapo chap na wametoa majina ya kuingia kazini baada ya kozi Yao wanayoanza December Tanga
Hili jeshi ndo mana linasahaurika ubabaishaji mwingi hawapo active katika utendaji wao na kuratibu mamboMagereza kwa hili wamefeli...
Cha muhim Jw atoe mwezi huu au December mwanzon maana wanaweza wakapiga aziwea wasitoe ukivuka mwaka huuMagereza kwa hili wamefeli...
Cha muhim Jw atoe mwezi huu au December mwanzon maana wanaweza wakapiga aziwea wasitoe ukivuka mwaka huu
Hahahahah 😅 haupendi ushindani ndg yangu😄😄....kiwingu kitakuwepo kuanzia wale waliokosa polisi kwahyo kupambana muhim mzeeMagereza wamezingua sana bora wangefanya kama uhamiaji chap kwa haraka ili watu wajue moja insuch JW wakitoa atleast kiwingu cha watu kipungue
Hahahahah [emoji28] haupendi ushindani ndg yangu[emoji1][emoji1]....kiwingu kitakuwepo kuanzia wale waliokosa polisi kwahyo kupambana muhim mzee
Tuweni na subila desemba ndo uhakika.Hili jeshi ndo mana linasahaurika ubabaishaji mwingi hawapo active katika utendaji wao na kuratibu mambo
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Tuweni na subila desemba ndo uhakika.
Hahahah😄 kazi ipooDuuh December tena..??? Aiseee kazi tunayo...
Unachosema ni sahihi...ila unafikiria utafanyaje na situation ipo Kama hivi sasaNdio lakin haitokua sawa kama jw wakitoa nafasi wakat Magereza bado hawajamaliza........i.e nyomii yake itakua sio poa ko uwezekano wa kukosa nafasi jw utakua mkubwa kwa watu wengi
🤣🤣🤣🤣🤣 Ndo hivo mkuu ,hamna namna ,tuendelee kunywa maji mengi.Duuh December tena..??? Aiseee kazi tunayo...
Unachosema ni sahihi...ila unafikiria utafanyaje na situation ipo Kama hivi sasa
😄Ndo hvyo mzeeHakuna namna mzee...tukae kwa kutuliaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1]Ndo hvyo mzee
Uzi wa wajela jela unachanja mbuga[emoji23][emoji23]
😂😂😂Uzi wa wajela jela unachanja mbuga[emoji23][emoji23]
😄No way outEeee huu ndio uzi uliobakia mzee...TUNAFARIJIANA TUH
Ndo hvyo mzeeVipi we uliombea makao makuu..??
Ndo hvyo mzee