Tpdf daah hawa jamaa
Sio mujibu wa sheria kuripoti hyo trh 23 rtsMabeyo juzi kwenye kikao na raisi alimshukuru raisi kukubali ombi lao lakuajir askari wapyaa.......ndio tunasubir watangaze hizo nafasi japo tetesi zinasema tar23 mwez huu wanatoa [emoji2371][emoji2371]ngoja tuone...
Sio mujibu wa sheria kuripoti hyo trh 23 rts
Tupe tupe broMaaafaaandeee..!!
Ni uhakika au lonja broRTS kihangaiko , RTS Oljoro ...makamanda ewiiiiiiiiii
Tar 23 za ndani ndaniNi uhakika au lonja bro
Tar 23 za ndani ndani
Wanatoa tamko tu mkuu wang .. jinsi ya kuingia katika usail ndo nguvu yako.Kk tuweke Sawa hapo hio tar ndio wanatangaza izo ajira au wanaenda kozi [emoji120]
Wanatoa tamko tu mkuu wang .. jinsi ya kuingia katika usail ndo nguvu yako.
Mbanga mkuu / connection maana sehemu kubwa watachukuliwa wale waliojenga ikulu chamwino. Wengine walio vikosini 'wakujitolea' watakaobaki humo ndo connection na watakao bahatika kupenya Kihalali.Nguvu kivipi kaka.....ebu fafanua kidg apa
Wewe bado unawawaza hao wahuni wa mambo ya ndani? [emoji848] hao ni Waarabu wa Pemba hujuana kwa vilemba. Watu tayari wana watu wao
Mbanga mkuu / connection maana sehemu kubwa watachukuliwa wale waliojenga ikulu chamwino. Wengine walio vikosini 'wakujitolea' watakaobaki humo ndo connection na watakao bahatika kupenya Kihalali.
Hizo fununu umetolea wap??KUNA UWEZEKANO MAGEREZA WAKAENDA KOZI JANUARY KAMA ZIMAMOTO WATAKAVYOKWENDA
Lakini hii itatupa mwanya wakujaribu na huku jwtz pia,tuzidishe subra wakuu
Tupe Source za taarifa mkuuKUNA UWEZEKANO MAGEREZA WAKAENDA KOZI JANUARY KAMA ZIMAMOTO WATAKAVYOKWENDA
Lakini hii itatupa mwanya wakujaribu na huku jwtz pia,tuzidishe subra wakuu
"Kujiunga na Jeshi' kauli yako utata wake umeanzia hapo.Naomba niulize na ambae atakuwa amenielewa basi aweze kunijibu...ipo hivi "kupata nafasi Hadi ufanikiwe kujiunga jeshini inasemekana Hadi upite ngazi ya mitaa, Kata, wilaya Hadi mkoa sasa najiuliza kupita ngazi ya mitaa, Kata ,wilaya Hadi mkoa inaanza na process zipi Hadi useme umepita katika hizo ngazi????? na ukiangalia sikuhizi ni utaratibu wa ku apply tu kwa maombi ya ajira itakavyotoka na kutuma maombi" kama Kuna sehem nitakuwa sipo sahihi na mtu kuweka sawa zaidi basi ruksa kufanya hvyo..ila nahitaji ufafanuzi wa hili Jambo vzuri