Msaada interview za Jeshi la Magereza

Jmn kama kweli walipigiwa simu tuambiane tufate ratiba zingine

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile a
Kufuatia hii website yao Ina wiki kazaa imekuwa blocked , usishangae kukuta mkeka ushawekwa zamani , afu siku watu wanaenda kozi ndo inafunguka , unakutana na mkeka wa usaili jina lako lipo na mkeka wa waliopita usaili jina lako halipo ,hapo ndo utajua kwa nn kuku dume hatagi mayai mengi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 

Atleast hawa wamejibu swali....ila Magereza duuh [emoji119][emoji119][emoji119]kama hawaoni vilee
 
Mbona huu usaili wao wa mkoa wameufanya kimy kimy , imekwendaje hapo

Mikoani ni kweli walifanya usaili sema tuu ndio hivyo walitumia njia ya kuwapigia simu....ko kama hukupigiwa simu maana yake ulikosa nafasi

Ila kwa makao makuu MKEKA NI LAZIMA
 
Tuendlee kuwa na subira maana bado taarifa rasmi hazijatoka za Jwtz ila tetesi naona zinakuwa nyingi Sana aise...maana hata mtu...... ambye yupo ofisi ya waziri wa ulinzi kasema bado hajapata chochote kwa waziri wa ulinzi maana waziri wa ulinzi amesafiri kwahyo tamko bado tusikilizie tu
 

Kwani mkuu kibali sikimeshatolewa na raisi au hii imekaaje mr..!
 
Kwani mkuu kibali sikimeshatolewa na raisi au hii imekaaje mr..!
Kibali kimetolewa lakini info kwamba wamefanya kimya kimya ambayo watu wanasema tayari sio kweli...mamb hayawez kwenda kmyakmya lazma watoe update...kwahyo tusikilizie tu update km wakija chukua uraiani kwahyo Imani inabidi tuendelee kuwa nayo ya kusikilizia anytime wakisema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…