Naona leo wamehitimu wale wa kozi ya uongozi
Si wanamalizia malizia..sema Leo ndo wamepata tano na permit wachache kwaajil ya manunuz ya vtu kadhaa ili mambo yakaishe kbsaNaona leo wamehitimu wale wa kozi ya uongozi
Hawa ni wa wapi mkuu?Si wanamalizia malizia..sema Leo ndo wamepata tano na permit wachache kwaajil ya manunuz ya vtu kadhaa ili mambo yakaishe kbsa
Nasikia ngazi ya degree walipigiwa cm kama hukupigiwa basi tenaWakuu jaman magereza wanatuzingua sana.....inamaana hawayapati haya malalamiko.??? Au ni dharau tuu[emoji2363][emoji2363][emoji2363][emoji2363]
Nasikia ngazi ya degree walipigiwa cm kama hukupigiwa basi tena
Acha kuzingua ,wslipigiwa lini hiyo!!na umesikia kwa Nan?Nasikia ngazi ya degree walipigiwa cm kama hukupigiwa basi tena
Mbona povu kaka[emoji28][emoji28]Acha kuzingua ,wslipigiwa lini hiyo!!na umesikia kwa Nan?
Kijana ushapanic [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Acha kuzingua ,wslipigiwa lini hiyo!!na umesikia kwa Nan?
😃😃😃 Dah hiyo taarifa inakatisha tamaa aseeMbona povu kaka[emoji28][emoji28]
Hapa ndo tunapopima subira hata utakapo kua kazini usipopata mshahara miezi minne usianzishe mgomo kama waleee[emoji1732][emoji1732][emoji2][emoji2][emoji2] Dah hiyo taarifa inakatisha tamaa asee
Jmn kama kweli walipigiwa simu tuambiane tufate ratiba zingineHapa ndo tunapopima subira hata utakapo kua kazini usipopata mshahara miezi minne usianzishe mgomo kama waleee[emoji1732][emoji1732]
😃😃😃🤣🤣🤣Jmn kama kweli walipigiwa simu tuambiane tufate ratiba zingine
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Kufuatia hii website yao Ina wiki kazaa imekuwa blocked , usishangae kukuta mkeka ushawekwa zamani , afu siku watu wanaenda kozi ndo inafunguka , unakutana na mkeka wa usaili jina lako lipo na mkeka wa waliopita usaili jina lako halipo ,hapo ndo utajua kwa nn kuku dume hatagi mayai mengi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Jmn kama kweli walipigiwa simu tuambiane tufate ratiba zingine
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile a
Jmn kama kweli walipigiwa simu tuambiane tufate ratiba zingine
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Mbona huu usaili wao wa mkoa wameufanya kimy kimy , imekwendaje hapoView attachment 2018151
Atleast hawa wamejibu swali....ila Magereza duuh [emoji119][emoji119][emoji119]kama hawaoni vilee
Mbona huu usaili wao wa mkoa wameufanya kimy kimy , imekwendaje hapo
Tuendlee kuwa na subira maana bado taarifa rasmi hazijatoka za Jwtz ila tetesi naona zinakuwa nyingi Sana aise...maana hata mtu...... ambye yupo ofisi ya waziri wa ulinzi kasema bado hajapata chochote kwa waziri wa ulinzi maana waziri wa ulinzi amesafiri kwahyo tamko bado tusikilizie tu
Kibali kimetolewa lakini info kwamba wamefanya kimya kimya ambayo watu wanasema tayari sio kweli...mamb hayawez kwenda kmyakmya lazma watoe update...kwahyo tusikilizie tu update km wakija chukua uraiani kwahyo Imani inabidi tuendelee kuwa nayo ya kusikilizia anytime wakisemaKwani mkuu kibali sikimeshatolewa na raisi au hii imekaaje mr..!