Mmmh 🤔🤔🤔🤔🤔🤔may be!!!Ila magereza ndio watafanya unaa yaaan magereza wengi watachukuliwa wale waliokua wanajitolea walee...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmh 🤔🤔🤔🤔🤔🤔may be!!!Ila magereza ndio watafanya unaa yaaan magereza wengi watachukuliwa wale waliokua wanajitolea walee...
ila asilimia kubwa Yani hata uhamiaji walichukua wa kujitolea kwahyo asilimia kubwa mujibu changamoto aise
Itabidi tukajitolee na sisi sasaMujibu wanatu-neglect sana aisee unaweza itwa kwenye usaili kama egesha tuu ila kichwa wanakukata daah[emoji119][emoji119]
Itabidi tukajitolee na sisi sasa
Ndo wanachokitaka
hapana mkuu,hao ni watu wote wenye elimu kuanzia 4m4 ni zaid ya 70 wanaowatakaIla zimamoto wahuni sana wameita watu 300 na zaid kwenye usaili wakati wanahitaji watu 70 tuu..??[emoji2][emoji2][emoji119][emoji119][emoji2363][emoji2363]
wa mujibu wapo humo kuna mates nmewaona ila wengi ni wa kujitolea, ila kwa mnaoeubria jw kwa mtaani nasikia hawatachukua vijana.
hahaa mkuu kwa jw sio rahs, wana vijana zaid ya 20000 makambn na mtaan labda uwe umewah jitolea, kama unasubr jw aisee fanya mambo mengneMtaaani wanachukua kuna mtu ameniibia lonja yupo kwenye chombo
hapana mkuu,hao ni watu wote wenye elimu kuanzia 4m4 ni zaid ya 70 wanaowataka
hahaa mkuu kwa jw sio rahs, wana vijana zaid ya 20000 makambn na mtaan labda uwe umewah jitolea, kama unasubr jw aisee fanya mambo mengne
unahs course gan hamna kule jkt mkuu tangu mwaka 2015 vijana wapo kule wa kila type had MDMtaaani wanachukua special coursee....
unahs course gan hamna kule jkt mkuu tangu mwaka 2015 vijana wapo kule wa kila type had MD
hahaahaa et ni wachache sana , muamba ngoma huvutia kwake mkuuHata kama wapo ila ni wachache.....chamsingi ngoja tusubir tuone kama watatoa au hawatotoa...
Sababu huyo alieniambia kua zitatoka ni mtu mkubwa sana
hahaahaa et ni wachache sana , muamba ngoma huvutia kwake mkuu
Asa bro unaongea vya kifikirika kumbe na hauna uhakika, tetea point bro kwnn wasichukue mtaani hiyo ya kujitolea pekee haitoshi[emoji4]hahaa mkuu kwa jw sio rahs, wana vijana zaid ya 20000 makambn na mtaan labda uwe umewah jitolea, kama unasubr jw aisee fanya mambo mengne
Kwa taarifa yako mabogi ndo wanakata leo, kuna mtu kanipa update hapa sasahivNi kweli lakini kaka muda ukifika utaongea tuu kama watatoa nafasi uraiani au hawatatoa......sasahivi tutakua kama tunapiga porojoo tuu..,
kwasabbu vikosn wapo weng sana, na kama watachukua wa mtaan bas waliopta jkt kwa kujitolea tu.Asa bro unaongea vya kifikirika kumbe na hauna uhakika, tetea point bro kwnn wasichukue mtaani hiyo ya kujitolea pekee haitoshi[emoji4]
ndicho nilichokua namwambiaKwa taarifa yako mabogi ndo wanakata leo, kuna mtu kanipa update hapa sasahiv