Msaada interview za Jeshi la Magereza

Msaada interview za Jeshi la Magereza

ila asilimia kubwa Yani hata uhamiaji walichukua wa kujitolea kwahyo asilimia kubwa mujibu changamoto aise
 
ila asilimia kubwa Yani hata uhamiaji walichukua wa kujitolea kwahyo asilimia kubwa mujibu changamoto aise

Mujibu wanatu-neglect sana aisee unaweza itwa kwenye usaili kama egesha tuu ila kichwa wanakukata daah[emoji119][emoji119]
 
Ila zimamoto wahuni sana wameita watu 300 na zaid kwenye usaili wakati wanahitaji watu 70 tuu..??[emoji2][emoji2][emoji119][emoji119][emoji2363][emoji2363]
 
wa mujibu wapo humo kuna mates nmewaona ila wengi ni wa kujitolea, ila kwa mnaoeubria jw kwa mtaani nasikia hawatachukua vijana.
 
Ila zimamoto wahuni sana wameita watu 300 na zaid kwenye usaili wakati wanahitaji watu 70 tuu..??[emoji2][emoji2][emoji119][emoji119][emoji2363][emoji2363]
hapana mkuu,hao ni watu wote wenye elimu kuanzia 4m4 ni zaid ya 70 wanaowataka
 
Hata kama wapo ila ni wachache.....chamsingi ngoja tusubir tuone kama watatoa au hawatotoa...

Sababu huyo alieniambia kua zitatoka ni mtu mkubwa sana
hahaahaa et ni wachache sana , muamba ngoma huvutia kwake mkuu
 
Back
Top Bottom