MrGeneous
JF-Expert Member
- Oct 3, 2020
- 562
- 285
Kwa taarifa yako mabogi ndo wanakata leo, kuna mtu kanipa update hapa sasahiv
Hatujakataa kama wanakata leo au vipi...!!
Hoja yetu ni kwamba uraiani pia watachukua siku sio nyingiii kwa taaluma watakazozitaka wao