Wanjax jr
JF-Expert Member
- Jun 4, 2020
- 491
- 1,261
Uenda uliowauliza hawana mifumo ,, maana ili ni jwtz la wananchi ,,ss kwa kigezo gaani wasichukue waliopo mtaani ?? Wakt kuna watu wapo mtaani wanamifumo yao wanaweza kuondoka kwa msg toka uraiani kurport rts ,baada ya hawa wajenzi kufika msata , .....yaani bhna haya mambo haya sio poaHaipo na haiwezikuwepo.....kwanza kwa hata ukiwauliza askari walio vikosini wengine ni Officer kabisa lakini wanasema ajira kuchukuliwa uraiani jw mwaka huu hawajui...
Ko probably hao walioenda RTS ndio haohao hakuna wengine