Msaada interview za Jeshi la Magereza

Jwtz Uraiani watachukua nimekuja kuondoa tu huo wasiwasi wenu


Bila
Connection
Na Mungu

Tafuta plan B mapema


Ni hayo tu ...Over and out
 
Jwtz Uraiani watachukua nimekuja kuondoa tu huo wasiwasi wenu


Bila
Connection
Na Mungu

Tafuta plan B mapema


Ni hayo tu ...Over and out

Lini kaka wanachukua.....mimi niliambiwa ndani ya hizi week2 sema skuambiwa tarehe tuu
 
Tarehe hajaniambia ila ameniambia tuu ndani ya week 2 kuanzia this week...
Kuna uwezekano kama watakuja kuchukua vikosini na mtaani basi watakuja kuchukua baada ya hao wanao enda kuripoti RTS KIHANGAIKO sasa hivi kufanyiwa vipimo. Jeshi halijawahi kupigisha kozi anifiti hata uwe na umuhimu
 
Kuna uwezekano kama watakuja kuchukua vikosini na mtaani basi watakuja kuchukua baada ya hao wanao enda kuripoti RTS KIHANGAIKO sasa hivi kufanyiwa vipimo. Jeshi halijawahi kupigisha kozi anifiti hata uwe na umuhimu

Ila mimi kitu nsichoelewa kwann hawa walioenda rts wasisubir wenzao wa uraiani ..???? Au inawezekana wakapiga kozi kimakundi makundi.??
 
Ila mimi kitu nsichoelewa kwann hawa walioenda rts wasisubir wenzao wa uraiani ..???? Au inawezekana wakapiga kozi kimakundi makundi.??
Mi nafikiri hao wamepewa kipaumbele tu sabab walijenga ikulu hvyo wanawahi kuanza vipimo kutokana na afya zao macement n.k ila watakao ingia bogi la pili ni hao wa makambini , baba kanituma na zari zarina....ila pia kuna oljoro sijui kama mwaka huu watapigisha ngwasuma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…