Hii TPDF uelekeo msata ..Mungu awatangulie ndg zetuPT hii au
Mungu awaepushe na dhoruba zote njiani wafike kwa amani[emoji120][emoji120][emoji120]Hii TPDF uelekeo msata ..Mungu awatangulie ndg zetuView attachment 2020603View attachment 2020603
Mbona Ikulu haijakamilika na wao wanakwenda kupata ajira??Hii TPDF uelekeo msata ..Mungu awatangulie ndg zetuView attachment 2020603View attachment 2020603
Nikiona hivi moyo unauma sana daahh... nchi yetu sote hii watukumbuke tukafie tukiipigania.Hii TPDF uelekeo msata ..Mungu awatangulie ndg zetuView attachment 2020603View attachment 2020603
Huko kuna wataorudiNikiona hivi moyo unauma sana daahh... nchi yetu sote hii watukumbuke tukafie tukiipigania.
Wataorudi kisa nn?Huko kuna wataorudi
UNFIT au?Huko kuna wataorudi
Harudi mtu hapo labda awe amechafua DAMU tu[emoji41]Huko kuna wataorudi
Harudi mtu hapo labda awe amechafua DAMU tu[emoji41]
Mbanga wako anasema kuhusu TPDF mkuu?Nakubali.....bora ufe kuliko kurud kizembe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbanga wako anasema kuhusu TPDF mkuu?
Tarehe ngap boss?Minimeambiwa ndani ya week hizi 2..... watatoa uraiani....kwa mujibu wake
Waulize viongozi bro sio ss ,ss hatujui chochoteMbona Ikulu haijakamilika na wao wanakwenda kupata ajira??
Duuh mkurungwa tunashukur kwa hiyo fit for tat lonja.Jwtz Uraiani watachukua nimekuja kuondoa tu huo wasiwasi wenu
Bila
Connection
Na Mungu
Tafuta plan B mapema
Ni hayo tu ...Over and out
Jwtz Uraiani watachukua nimekuja kuondoa tu huo wasiwasi wenu
Bila
Connection
Na Mungu
Tafuta plan B mapema
Ni hayo tu ...Over and out
Tarehe ngap boss?
Kuna uwezekano kama watakuja kuchukua vikosini na mtaani basi watakuja kuchukua baada ya hao wanao enda kuripoti RTS KIHANGAIKO sasa hivi kufanyiwa vipimo. Jeshi halijawahi kupigisha kozi anifiti hata uwe na umuhimuTarehe hajaniambia ila ameniambia tuu ndani ya week 2 kuanzia this week...
Kuna uwezekano kama watakuja kuchukua vikosini na mtaani basi watakuja kuchukua baada ya hao wanao enda kuripoti RTS KIHANGAIKO sasa hivi kufanyiwa vipimo. Jeshi halijawahi kupigisha kozi anifiti hata uwe na umuhimu
Mi nafikiri hao wamepewa kipaumbele tu sabab walijenga ikulu hvyo wanawahi kuanza vipimo kutokana na afya zao macement n.k ila watakao ingia bogi la pili ni hao wa makambini , baba kanituma na zari zarina....ila pia kuna oljoro sijui kama mwaka huu watapigisha ngwasuma.Ila mimi kitu nsichoelewa kwann hawa walioenda rts wasisubir wenzao wa uraiani ..???? Au inawezekana wakapiga kozi kimakundi makundi.??