Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya nini MkuuPdf loading.................
Hivi kama hawa Magereza na Zimamoto mpaka leo hawajatoa majina wanasubiri nini kwa mfano yaani.
Tena co cku 12 ni siku 11 kwahiyo subira yahitajika..Kwa magereza tokea usaili uishe leo ni siku ya 12......
ngoja tuone hio week inayoanza jtatu
Tena co cku 12 ni siku 11 kwahiyo subira yahitajika..
Pengine wanachomeka watu waoHivi kama hawa Magereza na Zimamoto mpaka leo hawajatoa majina wanasubiri nini kwa mfano yaani.
Hilo muhimuPengine wanachomeka watu wao
,,,🤣🤣🤣Hilo muhimu
Hivi inachukua muda gani mtu kujiandaa kwenda mahali kozi inapotolewa baada ya Majibu ya kuitwa kwenye kozi kutoka...huwa wanatoa range ya muda gani from the release date to reporting date
Huu Nlifikir mkeka wa magereza kudadeki[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2050021
View attachment 2050022
POLISI WALITOA RANGE YA SIKU 4-10 KURIPOTI TOKEA SIKU MAJINA YAMETOLEWA
Ko nahisi hata magereza ni humohumo tuu,sababu muda umeshaisha January watu wanatakiwa waende kozi.
Huu Nlifikir mkeka wa magereza kudadeki[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwanini Wana nyima watu kwenda na simu huko mafunzoniView attachment 2050021
View attachment 2050022
POLISI WALITOA RANGE YA SIKU 4-10 KURIPOTI TOKEA SIKU MAJINA YAMETOLEWA
Ko nahisi hata magereza ni humohumo tuu,sababu muda umeshaisha January watu wanatakiwa waende kozi.
Simu kumbe hazruhusiwi kwenda nazo????Kwanini Wana nyima watu kwenda na simu huko mafunzoni
Nimekuelewa mkuu na nimeuliza hivyo kupata makadirio ya magereza watatoa lini...kwahiyo nahisi magereza wataweza kutoa wiki hii kuanzia J5 au alhamisiView attachment 2050021
View attachment 2050022
POLISI WALITOA RANGE YA SIKU 4-10 KURIPOTI TOKEA SIKU MAJINA YAMETOLEWA
Ko nahisi hata magereza ni humohumo tuu,sababu muda umeshaisha January watu wanatakiwa waende kozi.
Nimekuelewa mkuu na nimeuliza hivyo kupata makadirio ya magereza watatoa lini...kwahiyo nahisi magereza wataweza kutoa wiki hii kuanzia J5 au alhamisi
Nashukuru Sana kwa feedback naona nimepata overview kwa head somehow so shukran Sana🙏🏾✊🏽Kabisaa inaonekana hii week inayoanza kesho haiwezipita ili baada ya mwaka mpya watu waende kozi
—Simu hawaruhusu nadhani hadi magereza hawaruhusu wakiwa kozi
Lakini hawaruhusu inamana hata kufika sehem ya kozi hautakiwi kuwa nayo hiyo simu...means unaiacha somewhere unayojua wewe au ipo vipi hili swala?Kabisaa inaonekana hii week inayoanza kesho haiwezipita ili baada ya mwaka mpya watu waende kozi
—Simu hawaruhusu nadhani hadi magereza hawaruhusu wakiwa kozi, SIJUI WANAHOFIA VIJANA WASIJEPIGA PICHA MAENEO YA KAMBI LABDA.
Lakini hawaruhusu inamana hata kufika sehem ya kozi hautakiwi kuwa nayo hiyo simu...means unaiacha somewhere unayojua wewe au ipo vipi hili swala?
Nashukuru Sana kwa feedback naona nimepata overview kwa head somehow so shukran Sana[emoji1488][emoji1421]