Ghulaam
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 1,861
- 1,461
Simu yanini???kama una Shida si kuna wakufunzi wako utawaeleza???Kwanini Wana nyima watu kwenda na simu huko mafunzoni
Wakati mwingine uraia wetu unachagizwa tusiruhusiwe Kwenda simu
Kupiga picha kuelezea mwenendo wa kozi kulialia Kwa baba nyumbani chakula cha kozi kibaya mazoezi magumu nk
Muda ukifika utatumia simu uraia ukishaondolewa