Msaada interview za Jeshi la Magereza

Msaada interview za Jeshi la Magereza

NGOJA TUONE HIII WEEK INAWEZA KUWA NJEMA KWETU KWA MAGEREZA


tuombe mungu[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Hivi wadau kutuma nyaraka kwa njia ya posta huwa ina cost kiasi gani ?
 
Hivi ile kozi kule kiwira inaisha lini wakubwa

Maana duh [emoji849]
 
Bora wangetoa tujuage mapema hata wakiweka kwend mwezi wa pili ila unakua mtu ushajua direction

Ni kweli kabisa mkuu....yaaan hata waseme kozi mwezi wa tano fresh tuu lakini watu wajijue mapema yaan....

WANAZINGUA SANA
 
Yan wenzetu walioenda polisi sahv wanahesabu miezi tuu kozi iishe duuh
 
Sema khaaaa magereza wangejua tulivyochoka toka mwez wa tisa hata waseme ni process gan wamezid maan m nnachoamin kufanya vitu kwa wakat vinapunguza undugunization sas wenyew muda wote huo hata cwanawez wakashikwa na tamaa wakachomekan maskin ya mungu unakuta wamemchomoa mtoto wa watu asiye na hatia kisa kuchelewesha kwao
 
Back
Top Bottom