Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Absolutely. Utaendelea tu kufanya kazi kama askari magereza wa kawaida, huku ni agent wa TISS kwa siri. Ipo hivyo sio tu kwenye vyombo vya Ulinzi na Usalama, bali hata kwenye mamlaka za kiraia pia.Wakuu naombeni munieleweshe kwa anaefahamu......
HIVI INAWEZEKANA UKAWA USALAMA WA TAIFA KUTOKEA ASKARI MAGEREZA.???[emoji120][emoji120][emoji120]
Polisi wamewahi kuanza mafunzo mtawakuta na kuwaacha.Mzigo wa polisi ni miezi 9 ila magereza ni miezi 6 pia kuna mtaala umeongezeka katika mafunzo ya polisi hivyo yamkini wakapiga mwaka 1 ijapokuwa sina uhakika sana.Polisi watawahi kumaliza kozi kuliko wote
Polisi wamewahi kuanza mafunzo mtawakuta na kuwaacha.Mzigo wa polisi ni miezi 9 ila magereza ni miezi 6 pia kuna mtaala umeongezeka katika mafunzo ya polisi hivyo yamkini wakapiga mwaka 1 ijapokuwa sina uhakika sana.
Absolutely. Utaendelea tu kufanya kazi kama askari magereza wa kawaida, huku ni agent wa TISS kwa siri. Ipo hivyo sio tu kwenye vyombo vya Ulinzi na Usalama, bali hata kwenye mamlaka za kiraia pia.
Askari alieiva lazima ajue kutunza SIRI!!Sema maafande ni wasiri sana duh [emoji849],unakuta unamuuliza afande yupo palepale dodoma makao makuu ya magereza nae hajui mkeka unatoka lini [emoji38][emoji38]
Kakusaidia saaaana atakwambia KUWA NA SUBRA
Kumbe wengine mna connection hadi makao makuuu
Askari alieiva lazima ajue kutunza SIRI!!
Pale PHDQ vitengo ni vingi sana na Kila kitengo kina mishe zake tu!!
Ushafanikiwa wew maana wengine hata jirani hatuna
Naitaka sana hii kaziKuna askari polisi kanambia usahili wa polisi utarud tena kama uhamiaji
Naitaka sana hii kazi
Ndio mkuuHukuombaga mkuu kipindi kile
Ndio mkuu
Ya nn hii11/01/2012 save the date
11/01/2012 save the date